exactlyTunakoelekea watatajana mabaya yao yote...hata hizo kura za urais 2015 kuna watu wanajua mchezo mzima ulivyofanyika hopefully.
Kumpata mtu msafi ndani ya CCM ni kazi kubwa; ni bora upewe kazi ya kutenganisha punje za sukari na mchanga toka kwenye gunia la kilo 100.
Atapokelewa tu kwa maandamano kwa vile ni mwanaCCM, hakuna ,mabomu, virungu wala kipigo cha mbwa koko hapoMaandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
Inakuhusu na kukuuma nini?Magu anaimaliza CCM bila kujua.
Ila nakumbuka hata Mwigulu Nchemba wanyiramba waliandaa mapokezi manene, mazito, marefu, makubwaHivi anashindwa nini kuiga "busara" za wenzake waliokuwa mawaziri na kisha kutumbuliwa na kukaa zao kimya?....akikubali huu ushauri wa "kuandaliwa" mapokezi basi lazima awe na plani moja kati ya hizi....(i) Kuhamia upinzani au (ii) kuachana kabisa na siasa za awamu hii nakwenda zake "masomoni"
Angeandika yeye haya uliyoandika kwenye a/c yako ya twitter unge mtukana na kum blockAcha uongo. January yupo Bumbuli. Angalia location kwenye post hii yake ya leo.
Shame on you! View attachment 1159750
that is the way its..Mngekuwa na akili,mngejiuliza ni kwanini kila uchaguzi kura za wagombea uraisi wa CCM zinashuka sambamba na idadi ya wabunge wa CCM huku upinzani ukijiongezea kura za wagombea wake wa uraisi na kuongeza idadi ya wabunge wake.
Kwa sasa chama chenu kina-survive kwa msaada wa dola tu kwani kimeshapoteza political legitimacy kwa kiwango kikubwa kuliko Mlima Kilimanjaro!!
Endelee na kiburi chenu na ulevi wenu wa madaraka na ndio maana awamu hii imekuwa ni mateso karibu kwa kila kundi katika jamii kuanzia watumishi wa umma,wafanyabiashara,wavuvi,wanasiasa mpaka na wawekezaji kutoka nje ya nchi!!
Tegemeni majeshi yalinde masilahi ya CCM kama alivyosema mwenyekiti wenu tena hadharani!!!
Makamba simuelewagi Kabisa yuko upande wa siasa za aina gani?.Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Wanaomuunga mkono ni wahuni wachache aliogawana nao hayo mabilioni ya NSSF.
Yaani mbunge wa CCM kupokelewa kwao yeye apate maumivu ya kichwa?kuwa na panaldol karibu ili maumivu ya kichwa yakizidi ya kufikiri kilichowezekana unywe
Makamba
Kwanza kisiasa yupo hoi[
/QUOTE]
Alibebwa na kikwete sio kiongozi mzuri
Mimi nimesema alichaguliwa kihalali? Ipo siku na haiko mbali watatuambia walichofanya kule Masaki. Naichukia CCM kama ninavyomchukia sheitwan.kwani magufuli alichaguliwa kihalali? yule wa zanzibar alivhaguliwa kihalli? nyumba ni sifa ya mtu kuwa mbunge? wabunge wangapi hawakai kwenye majimbo yao?
Tulia basi dada mtibiwe dengueInakuhusu na kukuuma nini?
kwa wapinzani wa nje ya chama na sio wa ndani ya chama.Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
Kura zipi mkuu? Mbona kila uchaguzi Chadema wanaingia gizani?