Tetesi: Mapokezi makubwa yamsubiri January Makamba jimboni mwake Bumbuli

exactly
 
Ila nakumbuka hata Mwigulu Nchemba wanyiramba waliandaa mapokezi manene, mazito, marefu, makubwa
 
that is the way its..
 
Makamba simuelewagi Kabisa yuko upande wa siasa za aina gani?.
Kwanza kisiasa yupo hoi
 
kuwa na panaldol karibu ili maumivu ya kichwa yakizidi ya kufikiri kilichowezekana unywe
Yaani mbunge wa CCM kupokelewa kwao yeye apate maumivu ya kichwa?
Pambaneni na hali zenu zilizogubikwa na usanii, visasi na uongo
 
kwani magufuli alichaguliwa kihalali? yule wa zanzibar alivhaguliwa kihalli? nyumba ni sifa ya mtu kuwa mbunge? wabunge wangapi hawakai kwenye majimbo yao?
Mimi nimesema alichaguliwa kihalali? Ipo siku na haiko mbali watatuambia walichofanya kule Masaki. Naichukia CCM kama ninavyomchukia sheitwan.
 
Kura zipi mkuu? Mbona kila uchaguzi Chadema wanaingia gizani?

Weweendelea tu kuficha kichwa mgongo ukiwa wazi. Huo ndio uhalisia bila dola mshindi huwa anajulikana. Naujue hii haiwezi kuwa milele kuna mifano mingi ya tawala kuporomoka ikiwa na dola.
 
Sijui Mshauri wa January Makamba ni nani lakini mambo mawili ni hakika
1. Hamshauri vyema ama January hashauriki
2. Wote wawili mshauri na mshauriwa hawajaweza kusoma alama za nyakati.

January Makamba amefika alipofika kwa sababu ya baba yake na mkono wa Jakaya, ni muda Sasa wa yeye kusimama yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…