Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
935
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this
 
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.

Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...
 
Ngoja niandae buti zangu na kirungu...
3594.gif
 
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this

Mara nyingi kwenye shughuli za kijingajinga kama hizi huwezi kukuta watu wanaojiheshimu.

Halafu msongamano wenu utamnyma uhuru Josephine Mushumbusi. Amefanya shopping ya nguvu Marekani, sasa mkijazana pale ataona noma na mizigo kibao wakati anawalaghai kuwa alienda study tour...
 
Huyu ndo Rais Mzurumiwa! Hapa alikuwa anamwaga points siyo mambo ya Mkukuta,Mkulabita,Kilimo kwanza wala Big resurt now!!!!!!!!!!
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.
 
HAMY-D, pamoja na kutokukubaliana na wewe kwa mambo mengi tu, nakupa big up kwa kuchangia uendeshaji wa hili jamvi letu tunalolipenda lakini je, huyu ndugu yako ZeMarcopolo, aliyehamishia humu hadi kitanda, huwezi kumshawishi naye akachangia japo kiduchu?
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.

Babu babua zako!!!Wa kupitaa???kwani ni yupi wa kudumu,weye??Kwa suala la muda chini ya utawala huu wa kifisadi na kidhalimu wa ccm mara nyingi work done=zero.Tehteh,teh kweli wewe bichwa~~~MBONA MLITUHAMASISHA KUMPOKEA OBAMA???Nyonyonyo,nyonyonyo,nyonyonyo~Nyoo."Tegemea nyomi ya kufa mtu".
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.

Has costed
 
HAMY-D, pamoja na kutokukubaliana na wewe kwa mambo mengi tu, nakupa big up kwa kuchangia uendeshaji wa hili jamvi letu tunalolipenda lakini je, huyu ndugu yako ZeMarcopolo, aliyehamishia humu hadi kitanda, huwezi kumshawishi naye akachangia japo kiduchu?

Sio kila anayechangia anataka kujulikana kuwa amechangia...
 
Hamy-D, wewe unamshabikia nani?? Au ndiyo wale mliopewa pipi na soda mkaona haya ndiyo maisha?? Ukikua utayajua na utaona. Time'll tell YOU.
 
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
 
HAMY-D, pamoja na kutokukubaliana na wewe kwa mambo mengi tu, nakupa big up kwa kuchangia uendeshaji wa hili jamvi letu tunalolipenda lakini je, huyu ndugu yako ZeMarcopolo, aliyehamishia humu hadi kitanda, huwezi kumshawishi naye akachangia japo kiduchu?

Asante mkuu Mag3, hili ni jukwaa letu sote na kuchangia uendeshaji wake ni wajibu wetu sote. Hivyo kwangu mimi naona kama nimetekeleza wajibu tu.

kuhusu ZeMarcopolo, nadhani kuna utaratibu wa members kuchagua kama watahitaji kuonekana na hizo icon ama lah. Ni imani yangu ZeMarcopolo ni miongoni mwa members wa aina hii ambao hawakupenda kuonekana na hizo icon ila wamechangia uendeshaji wa jukwaa letu.
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwa wote! Wandugu kwa kuwa mpaka sasa dr. Slaa ametuwakilisha vyema huko marekani, (nadhani) hadi wao wanashangaa kwanini hakuchaguliwa badala yake akapewa dhaifu, legelege asiye na hoja jk. Kwa kutambua hilo na dhima nzima ya ziara hiyo 'vission Tanzania' nashauri wote tunaoitakia mema nchi yetu tumiminike uwanjani kumpokea kwa mabango na jumbe za kumtia moyo. NB: hatuhitaji kibali wala ruhusa ya polisi coz sio maandamano bali mapokezi...Mwanasoka mbuyu twite alipokewa na maelfu ya watu uwanjani na hawakuomba ruhusa popote coz hakuna sheria iliyovunjwa, so police stay out of this
Msukule wewe hata manyaunyau akichinja paka 20 hauponi tena.Babu amekumaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom