Mapokezi Global Publishers imenisikitisha

Sikujipangia ndio maana akitaka namba yangu ili wao wanipangie lkn miezi???? Looo ht wewe uliyejibu hp hukuelewa tgread umekurupuka. Walewaleeeee
 

Huyo Secretary Msamehe Tu Mkuu Kwani Tokea Aachane Na Mumewe Mr. Luqman Maloto Ambaye Alikuwa Mwandishi Mwandishi Na Kiongozi Hapo Kwa Kosa La Kufaniwa AKILIWA Uroda Na NJEMBA Moja Hivi Ipo Hapo Jengo La Nyuma MKABALA Na TSN Supermarket Ni Kama Vile AMEWEHUKA Japo Huyo Mumewe Waliyezaa Nae Katoto Kamoja Ndiyo KAWEHUKA Sasa KULIKOTUKUKA. Stress Na TALAKA Zinamgharimu Mno Kiutendaji Huyo Dada Japo Kwa Sasa Kuna Pedeshee Moja Humo Humo GPL Inabandua KISELA. Naomba Niishie Hapa Tu Kwa Leo!
 

GENTA......CHUNGUKUMEZA umenivunja mbv jmn. Aliamua mwenyewe kwa raha zake jicho la ngombe sasa sisi wateja yatuhusu nini? Alipokea mshiko, alipata mkuno kwa raha hakutushirikisha iweje sasa atushirikishe machungu yake? Tena kwa lzm? Pole yake. Basu nimemsamehe kwa vile umemsemea.
 
Gentamycine duh!umeua bendi yaani matatizo ya nyumbani analeta kazini?
 
mkuu naomba unielekeze hiyo ofisi ipo bamaga upande gani hasa
 
Ishia hapohapo maana umeua kabisa teh
 
Daah, nimeamini Jamii forum kuna watu mna porojo za Vijiweni, Kwanza kabisa Hiki ulichokiandika ni Stori za kusadikika. Mimi Sijawahi kumfumania mke wangu, na wala Sijawahi kumpa Talaka. Jaribu kutunga uongo mwingine.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…