Mapishi ya biriani

Vutunguu visiwe na rangi ya kuungua, vile brown light ndio biriani inakuwa na ladha nzuri. Hapo kwenye maziwa weka mtindi, kama wa Tanga fresh.
Hujaweka uwiano wa vipimo, mfano kilo moja ya mchele iwe kwa nyama kilo ngapi? Vitunguu maji iwe kilo ngapi? Tungule nazo, mbatata..n.k
Biriani nzuri ni ya nyama ndio ina taste ya soup
 
Maajabu Kuna chakula kinaitwa MPALANGE 🤔
KUMBE MIMI BADO SIJALA KABISA MISOSI.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…