Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Mimi siwez niliwai pika siku moja nikaharisha nikasema labda nilikosea nikaenda kula kwa nono nikahalisha mpaka leo sili ata nikiliona hapo na ndio chakula cha kwanza kutokipendaMbaya bn, sioni uzuri au sifa ya birian, watu wanasifia balaa,,,, kuna mtu kila wiki lazima ale
Hadi Mimi jana tu niliyaweka kwenye makongoroMie pia ni mpenzi.
Sema huwa naila chukuchuku, chumvi kidogo.
Kabisa iko ikoHicho kiungo unachosema kina jani ndani yake ni Biryani masala.
View attachment 3293793
Pia, ongezea:-
1. Kitunguu saumu
2. Tangawizi
3. Pilipili (Optional)
4. Mtindi (Sio lazima)
Kwa wale wapenzi wa nazi, unaweza kutia tui la nazi kuongeza ladha.
Mayai sio lazima.
Maviungo mengi sana mastaTamu sana lile
Vyakula vyangu ni ugali, ndizi mchemsho, vyakula fulani vya kienyeji na kitimoto 🤣Siku utembee nyumbani uonjee
Viungo muhimu kakaMaviungo mengi sana masta
Makongoro😋Hadi Mimi jana tu niliyaweka kwenye makongoro
Nishawela hapo juu na madam be kaongezeaUmeniwahi nilitaka kumuita chef wetu wa JF 😹
Haya Mwachiluwi lete recipe
Napenda ugali mlenda na mayaiVyakula vyangu ni ugali, ndizi mchemsho, vyakula fulani vya kienyeji na kitimoto 🤣
Havina maajabuni vyakula high classic food, vina hadhi yake
Exactly 💯 tamu sio powa afu kwenye Yale mambo yetu pendwa linasaidia sana aisee ulitie na hoho nyingi aiseeMakongoro😋
Upate lile lenye uloto, pilipili ya kutosha.
Mlenda mboga za mizimu aisee mnaokula mna mioyo ya ajabu sana..!! 🤮Napenda ugali mlenda na mayai
Mzuri sana mbonqMlenda mboga za mizimu aisee mnaokula mna mioyo ya ajabu sana..!! 🤮
Ile siyo mboga ni lift ya tongeMlenda mboga za mizimu aisee mnaokula mna mioyo ya ajabu sana..!! 🤮
Vutunguu visiwe na rangi ya kuungua, vile brown light ndio biriani inakuwa na ladha nzuri. Hapo kwenye maziwa weka mtindi, kama wa Tanga fresh.Kwanza unaanza kukaanga vitungu kama unavyo kaanga chips mpaka viwe na rangi ya kuungua unavitoa unaweka pembeni
Unasaga nyanya nyanya ziwe nyingi sana
Uwe na maziwa
Af kuna kiungo cha birian ndani yake kuna jani
Binzari nyembamba
Mayai
Nyama kuku / mbuzi
Tomato pest
Madame B nisaidie kama kuna kitu nimesahau
Maajabu Kuna chakula kinaitwa MPALANGE 🤔Maneno yaliyotoka daslamu ambayo hadi sasa siyaelewi ni biriani, mpalange, kachori na kuna hili nililolisikia muda mrefu nikaja kujua kumbe ni skonsi iliyowekwa mbogamboga katikaki... Nayo si nyingine bali ni burger
Kuna chakula kingine kina jina la ajabu kwelikweli nimekisahau jina nilikiona kwa mpishi wa jamiiforum ndugu yetu Mwachiluwi
Hahahaha!Exactly 💯 tamu sio powa afu kwenye Yale mambo yetu pendwa linasaidia sana aisee ulitie na hoho nyingi aisee
Hii combo tamu sana 😋 😎Hahahaha!
Napenda sana upishi wa chukuchuku.
View attachment 3293929View attachment 3293930
Unaiweza hii? (Yai bichi)
View attachment 3293932
Mwenyewe nasikia kwa watuMaajabu Kuna chakula kinaitwa MPALANGE 🤔
KUMBE MIMI BADO SIJALA KABISA MISOSI.