PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,995
- 1,291
Habari za mlo kwa wakati huu.
Jamani naomba kuelekezwa jinsi ya kutengeneza karanga za mayai..Napendaga sana tena saana tu ila naishiaga kununua tu supermarket nakwingineko.
Siku moja buana nkajifanya nazitengeneza mwenyewe kwa kuzipimia kisimpo simpo tu haaaaaa kilitoka kituko sijawahi ona sema nlikula hivohivo tu kwa kuonea huruma malighafi zangu especially mayai.
Roho inaniuma kununua nunua jamani wakati I think all materials needed for that are available at my place karanga za kumwaga mayai ndio usiseme tena ya kienyeji sh 250 tu.Anayejua anipe procedures jamani.
Bila kumsahau mwenyekiti wa kamati ya mapishi farkhina
Nawasilisha.
fuata hatua, zitatoka tamuu.