Kati ya evolutionary events zilizotokea katika zama hizi hi sim za mkononi. Kwenye miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000, umaarufu wa simu za mkononi ndio ulikuwa unakuja juu Tz. Kwa vijana wanaokua leo, itakuwa vizuri tukiwapa experience ya jinsi simu hizi zilivyoibukia na vituko vyake.
Binafsi, wakati naona sim ya mkononi kwa mara ya kwanza mwaka 1997, sikuamini kama kuna siku maishani mwangu ningekuja kumiliki kitu cha 'thamani' kama kile. Nilikuja kusoma stori ta Abdalah 'King' Kibadeni alipokuwa amemshtaki 'changu doa' kwa kumuibia simu, nikazidi kuona kama simu kilikuwa kitu cha hali ya juu sana.
Wana Jf ambao mmeshuhudia kuingia hadi kuzagaa kwa technolojia hii, hebu mwageni hapa jinsi mnavyoweza kuyaelezea mapinduzi haya japo kwa kifupi...
Binafsi, wakati naona sim ya mkononi kwa mara ya kwanza mwaka 1997, sikuamini kama kuna siku maishani mwangu ningekuja kumiliki kitu cha 'thamani' kama kile. Nilikuja kusoma stori ta Abdalah 'King' Kibadeni alipokuwa amemshtaki 'changu doa' kwa kumuibia simu, nikazidi kuona kama simu kilikuwa kitu cha hali ya juu sana.
Wana Jf ambao mmeshuhudia kuingia hadi kuzagaa kwa technolojia hii, hebu mwageni hapa jinsi mnavyoweza kuyaelezea mapinduzi haya japo kwa kifupi...