green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,308
- 35,852
BREAKING: Military coup in Congo at this moment.
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopolitics
UPDATES
Serikali imekanusha teteai zozote kuhusu majaribio ya mapinduzi nchini humo
Serikali ya Congo Brazzaville Government inayoongozwa na Rais Denis Sassou Nguesso kwenye andiko la X imekana kuhusu Mapinduzi yoyote dhidi ya Serikali hiyo
Vyombo kadhaa vya habari siku ya Jumapili vimeripoti kuhusu Mapinduzi jaribio la Mapinduzi kuendelea ndani ya nchi hiyo wakati Rais akiwa Ziarani nje ya nchi
Posti ya Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Thierry Moungalla, imekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wa Mtandao wa X.
Rais wa nchi hiyo ni Afisa wa zamani wa Jeshi, ambaye amekuwa kwenye madaraka tangu 1997
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopolitics
UPDATES
Serikali imekanusha teteai zozote kuhusu majaribio ya mapinduzi nchini humo
Serikali ya Congo Brazzaville Government inayoongozwa na Rais Denis Sassou Nguesso kwenye andiko la X imekana kuhusu Mapinduzi yoyote dhidi ya Serikali hiyo
Vyombo kadhaa vya habari siku ya Jumapili vimeripoti kuhusu Mapinduzi jaribio la Mapinduzi kuendelea ndani ya nchi hiyo wakati Rais akiwa Ziarani nje ya nchi
Posti ya Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Thierry Moungalla, imekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wa Mtandao wa X.
Rais wa nchi hiyo ni Afisa wa zamani wa Jeshi, ambaye amekuwa kwenye madaraka tangu 1997