Mimi nilaumiweAfrika imegubikwa na matukio ya mapinduzi kwa muda mrefu sasa
Toka miaka ya 1950 mpaka 2020 zaidi ya mapinduzi 206 yameshafanyika
Tatizo liko wapi? Mapinduzi hayo yote viongozi wengine hawajifunzi ?
Mapinduzi yanapotokea jumuiya za kimataifa zinalaani wakati wananchi wa nchi husika wakiwa wanaandamana kudai haki hawapati msaada badala yake mshahara wao ni risasi na malungu ya polisi.
Je nani wa kuwasaidia wananchi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama ule wa mwenyekit mbowe wakufukuza wabunge bila kuwahoji na kuwaambia watu wasitake kuonja sum kwa kuilambaTawala za kiimla zinazodhulumu watu haki zao ndio chanzo cha matatizo yanayoisibu bara hili toka uhuru.
Waafrika tumerithi mfumo wa utawala wa kitemi uliyokuwepo toka enzi na enzi ambao msingi wake ni unyanyasaji kwa watawaliwa na ndio tunauendeleza hadi leo.
Umenena vemakati ya hayo mapinduzi yaliyotekea, ni mapinduzi yasiyozidi 10 ndio yalikuwa yakirenga ukombozi kwa wananchi.yaliyobaki,
tamaa za madaraka na msukumo kutoka kwa mataifa yenye nia ovu na nchi husika.
kama africa bado tunatakiwa kufanya tathmini tunapokwama, mataifa mengi bado yana kansa ya ukabila, koo, na hata kanda hii nayo imekuwa tatizo kubwa kuliko umasikini unaotukamua.
Mali nao wamezoeapindua pindua kila mara... Afrika ndivyo inavyokuwa hapa wananchi watashangilia uongozi umeondoka baada ya mwaka wanaanza kulia tena. Same story ya Zimbabwe, same story Sudan.Afrika imegubikwa na matukio ya mapinduzi kwa muda mrefu sasa
Toka miaka ya 1950 mpaka 2020 zaidi ya mapinduzi 206 yameshafanyika
Tatizo liko wapi? Mapinduzi hayo yote viongozi wengine hawajifunzi ?
Mapinduzi yanapotokea jumuiya za kimataifa zinalaani wakati wananchi wa nchi husika wakiwa wanaandamana kudai haki hawapati msaada badala yake mshahara wao ni risasi na malungu ya polisi.
Je nani wa kuwasaidia wananchi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ufaransa inahusikaAfrika imegubikwa na matukio ya mapinduzi kwa muda mrefu sasa
Toka miaka ya 1950 mpaka 2020 zaidi ya mapinduzi 206 yameshafanyika
Tatizo liko wapi? Mapinduzi hayo yote viongozi wengine hawajifunzi ?
Mapinduzi yanapotokea jumuiya za kimataifa zinalaani wakati wananchi wa nchi husika wakiwa wanaandamana kudai haki hawapati msaada badala yake mshahara wao ni risasi na malungu ya polisi.
Je nani wa kuwasaidia wananchi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Na wengine wanaotuma wasiojulikana kwenda kuua wengine. 😳Kama ule wa mwenyekit mbowe wakufukuza wabunge bila kuwahoji na kuwaambia watu wasitake kuonja sum kwa kuilambaudikteta Africa umekua mzigo kwetu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sometimes ni uroho na urafi wa wanaopindua. Unakuta Askari mkubwa ana bfursa ya kumshauri ama kumuongoza rais lakini ana opt kumuondoaTawala za kiimla zinazodhulumu watu haki zao ndio chanzo cha matatizo yanayoisibu bara hili toka uhuru