uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,303
- 9,486
Kwa wale wanaofatilia haya mashindano yenye ukwasi wa milioni 100 kwa mshindi wa kwanza na 80 kwa wa pili ambayo yameanza Leo wawe wanaweka updates hapa ili sisi watumiaji wa Dstv tujue Nini kinaendelea
Mfano Leo bingwa wa mashindano hayo msimu huu kacheza na bingwa wa msimu uliopita je nani kashinda nani kashindwa
NB:All the best Yanga wakikaa vibaya tulichukue na kuondoka nalo
Mfano Leo bingwa wa mashindano hayo msimu huu kacheza na bingwa wa msimu uliopita je nani kashinda nani kashindwa
NB:All the best Yanga wakikaa vibaya tulichukue na kuondoka nalo