Mapigano ya DRC na M23 yameishia wapi?

Mapigano ya DRC na M23 yameishia wapi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,444
Reaction score
62,826
Nakumbuka yalikuwa yamepamba moto, kila chombo cha habari kinawazungumzia wao tu; pamoja na kuonyesha harakati zao katika kuikomboa kongo.

Lakini kwa sasa, naona kuna kimya kingi; au wameshaikomboa kongo?​
 
Nakumbuka yalikuwa yamepamba moto, kila chombo cha habari kinawazungumzia wao tu; pamoja na kuonyesha harakati zao katika kuikomboa kongo.

Lakini kwa sasa, naona kuna kimya kingi; au wameshaikomboa kongo?​
Tangu juzi nawaza hili
 
Uvira hapaingiliki..wajipnge kwanza labda wanawavizia wazalendo wawape rushwa ili wajiunge nao..maimai ni hatari hawaogopi masasi(risasi)
 
Back
Top Bottom