Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,136
- 55,605
Nakumbuka yalikuwa yamepamba moto, kila chombo cha habari kinawazungumzia wao tu; pamoja na kuonyesha harakati zao katika kuikomboa kongo.
Lakini kwa sasa, naona kuna kimya kingi; au wameshaikomboa kongo?
Lakini kwa sasa, naona kuna kimya kingi; au wameshaikomboa kongo?