Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
2,437
Reaction score
4,932
Je, kweli kuna mepepo, maruani na majini, au yote haya ni hadithi za imani na tamaduni? Katika baadhi ya madhehebu ya Kikristo ya charismatic kama Walokole, watu huamini kwa nguvu kwamba roho au mepepo zinaweza kuingia mwilini wa binadamu, na hivyo kuonyesha ishara za ajabu kama kurukaruka au kutokwa na sauti.

Madhehebu mengine kama Katoliki au Wasabato wanatofautiana, wanatambua uwepo wa roho na malaika, lakini hawasisitizi matukio ya kimwili. Katika Uislamu, kuna imani kwa viumbe visivyoonekana vya kiroho, vyaani jinn, lakini kuingiliana kwa nguvu za kimwili si ya kawaida. Kwa upande mwingine, falsafa na sayansi zinaangalia matukio haya kwa mtazamo tofauti sayansi haijathibitisha kuwepo kwa nguvu hizi za kimwili, na mara nyingi inatoa tafsiri za saikoloji, hali za kiakili, au tamaduni za kijamii kama sababu ya matukio ya kurukaruka.

Mdau tuambie maoni yako kuhusu hili suala.
 
Ni ukweli mkuu,hata katika ukoo wako hakuna mtu anayerukwa na wazimu na kuanza kuomba vitu vya kale walivyokuwa wanavitumia watu wa ukoo wake waliotangulia mbele za haki? Hao ndio mizimu sasa! Na kwa hali ilivyo sasa yatupasa tujifungamanishe na mizimu ya kwetu hiyo iletayo baraka, una biashara yako,u mfugaji,mkulima,mchimbaji wa madini rudi nyumbani ukatambike na utaona mambo yako yamenyooka. Achana na dini za akina Setfree na Yesu ANAKUJA
 
Ni ukweli mkuu,hata katika ukoo wako hakuna mtu anayerukwa na wazimu na kuanza kuomba vitu vya kale walivyokuwa wanavitumia watu wa ukoo wake waliotangulia mbele za haki? Hao ndio mizimu sasa! Na kwa hali ilivyo sasa yatupasa tujifungamanishe na mizimu ya kwetu hiyo iletayo baraka, una biashara yako,u mfugaji,mkulima,mchimbaji wa madini rudi nyumbani ukatambike na utaona mambo yako yamenyooka. Achana na dini za akina Setfree na Yesu ANAKUJA
 
Ni ukweli mkuu,hata katika ukoo wako hakuna mtu anayerukwa na wazimu na kuanza kuomba vitu vya kale walivyokuwa wanavitumia watu wa ukoo wake waliotangulia mbele za haki? Hao ndio mizimu sasa! Na kwa hali ilivyo sasa yatupasa tujifungamanishe na mizimu ya kwetu hiyo iletayo baraka, una biashara yako,u mfugaji,mkulima,mchimbaji wa madini rudi nyumbani ukatambike na utaona mambo yako yamenyooka. Achana na dini za akina Setfree na Yesu ANAKUJA
Kiranga ndio mtaalm
 
Upo ulimwengu mwingine hapa hapa usioonekana kwa macho, huu tuliomo ni 4D (space-time), kuna safu nyingine za reality ziko hapa hapa, lakini hatuzioni because we're limitied.

I like this short video:


View: https://youtube.com/shorts/VwofJ3wkzn8?si=pksy5WAS7GZSN9J-


Tangu binadamu wa kwanza aanguke na MUNGU kujitenga nasi, tumeshushwa hadhi, tumepungua utukufu, tumeshuka kutoka safu tuliyokuwepo.

Sisi wenyewe sio hii miili, hii miili ni vyombo. Kama ni computer, basi hii miili ni hardware, nafsi zetu ndio software/Operating system. Hizi software kwenye ulimwengu wa 4D hazionekani.

Scientific proof that we are more than the function of our brains:


View: https://youtu.be/41bIJ7hYbLs?si=gOqYq6iLzwESiY1-

Ulimwengu wa roho upo na una viumbe wengi. Wapo wanaomkubali MUNGU wao na waliomkataa na kumuasi MUUMBA wetu. Nafsi za waliokufa kimwili ziko huko.

Wale waliomkataa MUNGU kuwa mtawala, MUNGU amewaachia mamlaka:

Yapo majeshi maovu ya ulimwengu wa roho;
watawala,
wakuu na wenye nguvu,
wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.

Wapo.

Lakini pia yupo mwenye ENZI KUU,
MFALME WA WAFALME,
BWANA WA MABWANA,
BWANA WA MAJESHI YA MBINGUNI
,
KAMANDA MKUU WA MAJESHI YA MBINGUNI,

YUPO,


who will soon be revealed on earth, him together with his heavenly army, and bring the lords and forces of darkness to their pathetic end.
 
Kumkana MUNGU sio ujanja wala usomi,

actually ni Ushamba, Upumbavu na Ujinga.

Wajanja na wasomi mahiri wote wanamtambua MUNGU aliye hai.
 
Kumkana MUNGU sio ujanja wala usomi,

actually ni Ushamba, Upumbavu na Ujinga.

Wajanja na wasomi mahiri wote wanamtambua MUNGU aliye hai.
Kwanini mkiulizwa kitu mnakimbia??

Mnakimbilia vifungu vya bibilia bado mnasema Mungu anatukanwa, mnakimbilia protective defence that don't relate to logic
 
Hayo majini yanauzwa physically na nilishakutana na watu wanayaita na kukuuzia ,kimsingi wapo wengi tuu mikoaa ya pwani,lindi,Tanga na Mombasa ,na watu wengi wanayo majini majumbani kwao na kwenye miwili yao kwa matumizi kama;
Ulinzi
Mke/mume
Biashara
Chuma ulete
Kuroga wengine
Uaguzi/ uganga/utambuzi
Kama camera au infomer
Kama mizimu hii ndio common sana
 
Upo ulimwengu mwingine hapa hapa usioonekana kwa macho, huu tuliomo ni 4D (space-time), kuna safu nyingine za reality ziko hapa hapa, lakini hatuzioni because we're limitied.

I like this short video:


View: https://youtube.com/shorts/VwofJ3wkzn8?si=pksy5WAS7GZSN9J-


Tangu binadamu wa kwanza aanguke na MUNGU kujitenga nasi, tumeshushwa hadhi, tumepungua utukufu, tumeshuka kutoka safu tuliyokuwepo.

Sisi wenyewe sio hii miili, hii miili ni vyombo. Kama ni computer, basi hii miili ni hardware, nafsi zetu ndio software/Operating system. Hizi software kwenye ulimwengu wa 4D hazionekani.

Scientific proof that we are more than the function of our brains:


View: https://youtu.be/41bIJ7hYbLs?si=gOqYq6iLzwESiY1-

Ulimwengu wa roho upo na una viumbe wengi. Wapo wanaomkubali MUNGU wao na waliomkataa na kumuasi MUUMBA wetu. Nafsi za waliokufa kimwili ziko huko.

Wale waliomkataa MUNGU kuwa mtawala, MUNGU amewaachia mamlaka:

Yapo majeshi maovu ya ulimwengu wa roho;
watawala,
wakuu na wenye nguvu,
wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.

Wapo.

Lakini pia yupo mwenye ENZI KUU,
MFALME WA WAFALME,
BWANA WA MABWANA,
BWANA WA MAJESHI YA MBINGUNI
,
KAMANDA MKUU WA MAJESHI YA MBINGUNI,

YUPO,


who will soon be revealed on earth, him together with his heavenly army, and bring the lords and forces of darkness to their pathetic end.

No such a thing called heaven ni vitu vya kufikirika, mambo mengi ni nadharia you can't proof.
Human brain is like a computer, mtu anakua katika Imani kutokana na data anazozipata based on a certain geographical area ila ukweli ni kwamba hivi vitu ni Imani na kwa upande wangu naweza kusema havipo
 
Hayo majini yanauzwa physically na nilishakutana na watu wanayaita na kukuuzia ,kimsingi wapo wengi tuu mikoaa ya pwani,lindi,Tanga na Mombasa ,na watu wengi wanayo majini majumbani kwao na kwenye miwili yao kwa matumizi kama;
Ulinzi
Mke/mume
Biashara
Chuma ulete
Kuroga wengine
Uaguzi/ uganga/utambuzi
Kama camera au infomer
Kama mizimu hii ndio common sana
I think haya mambo ni Imani maana uchawi wenyewe ni kitu ambacho hakimake sense kabisa maan watu wenye Imani kama wicca hutumika vitu vya kila siku chakula, vyombo, miti shamba na kuwekea Imani kinaweza kufanya jambo flani na flani
 
Kwanini mkiulizwa kitu mnakimbia??

Mnakimbilia vifungu vya bibilia bado mnasema Mungu anatukanwa, mnakimbilia protective defence that don't relate to logic
Una akili timamu?

Topic ni kuhusu mapepo, Nimekushushia paragraph hapo umeisoma?

Nashangaa nashuka kwenye comments makuta "wafia dini" nikaona nisikuache bure.

Wapi nimesema MUNGU katukanwa?

Logic unaijua? Chanzo cha sheria za logic unakijua? Sheria za logic zinatoka kwa MUNGU mwenyewe: our eternal God who never changes, our God who is TRUTH itself.

We appeal to our eternal God to make sense of our decaying world. Yani hata kama humpendi Mungu unamuhitaji awepo ili uthibitishe hayupo.

Ni kama mtu humpendi unataka kila mtu amchukie halafu unamfuata akupe hela ya kukusaidia kusambaza chuki zako.

I'm done here, have wasted enough time.
 
Back
Top Bottom