mapenzi

mapenzi

Kwann unasema hvyo

Kwasababu kuna kitu una benefit kutoka kwake na unapenda kuendelea kupata benefit bila ya wewe kumkubalia Kwahiyo umekuwa una mpa moyo wakati kiukweli huna time Naye ila vitu vyake una vitaka

Ndio Maana mkuu Hapo kasema Ni unafiki. Acha kula vitu vyake halafu utaona utakavyo pata nguvu ya kumwambia
 
Kwasababu kuna kitu una benefit kutoka kwake na unapenda kuendelea kupata benefit bila ya wewe kumkubalia Kwahiyo umekuwa una mpa moyo wakati kiukweli huna time Naye ila vitu vyake una vitaka

Ndio Maana mkuu Hapo kasema Ni unafiki. Acha kula vitu vyake halafu utaona utakavyo pata nguvu ya kumwambia

topic clossed..
 
Mwambie ajiuzulu huu ndi msimu wake...
 
kama huwez kumwambia kwa mdomo hebu mfanyie vitendo ataisoma japo kimya kimya
 
Back
Top Bottom