!!!!!!!Mapenzi!!!!!!!

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
addicted to wasiwasi..mmh!<br />
Hapana, utakuwa makini usiingie hovyo hovyo kwenye mahusiano.
<br />
<br />
kila kitu kinakuwa imara kutokana na msingi, we utakuwa umeshaimarisha msingi wako wa kutokuamini daima.
 
<br />
<br />
ukijiendekea tamaa we ndo utakuwa wa kuogopwa.
Nimeuliza swali bt haimaanishi mimi natamani. Manake kuna watu wana penda na bado wanakuwa na tamaa, tuwaweke kwenye fungu gani?
 
wazee watu wazima wanawasaliti wake zao kwa kutembea na vitoto vidogo! Haya ndo mapenzi?

Wamama watu wazima wanawaweka vijana wadogo ndani wakidai damu moto! Sasa haya ndo mapenzi?
 
This is well said, japokuwa duh, ukitendwa hapo it costs a lot in your life.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…