Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Hivi UDOM ndio chuo kikubwa na maarufu zaidi East and Central Africa, huh? Just playing.
Meku bana, utoto na "uchaga" ndio tatizo hapa. Njia ya muongo ni fupi mazee, usipoangalia utapoteza vyote.
Halafu jifunze kupunguza hizo swaga za "chuo kikuu" kila mara, chuo inatosha mkuu.
Meku bana, utoto na "uchaga" ndio tatizo hapa. Njia ya muongo ni fupi mazee, usipoangalia utapoteza vyote.
Halafu jifunze kupunguza hizo swaga za "chuo kikuu" kila mara, chuo inatosha mkuu.