Mapenzi yataka moyo wa jiwe kama chuma

Mapenzi yataka moyo wa jiwe kama chuma

ashrei brown

Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
9
Reaction score
3
ushauri jamani wana JF

Umeamua kuingia katika mahusiano na mwanaume uneyefikiri kuwa kuwa ni chaguo sahii kuwa nae na unampenda sana.

Kakujengea mazingira ya uwazi, upendo mpaka mmefikia makubaliano ya muoane unachukua uamuzi wa kuwaeleza wazazi wako..

Anakuwa mwepesi sana wa kushiriki katika maswala yanayokuhusu na anakushirikisha katika mambo yake hivyo kakujengea uaminifu mkubwa.. Pmoja na hayo yote unagundua mwanaume huyo ni mume wa mtu.Je INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYEJE?
 
Sikiliza moyo wako, watu wengine watakushauri muache ila kuachana na mtu umpendae sio rahisi kiivo...
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Yaani mpaka mnafikia stage ya kupelekana kwa wazazi haujawahi kumchunguza kiasi hicho na kujua kama kaoa au la. Mmmmmmh..
 
Dini gani? Kama ya Waislamu piga moyo konde maisha yaendelee. Kama ni Wakristo, umeliwa, in short chapa lapa.
 
Kilichobaki hapo uachane nae na ukatubu kwa kutembea na mume wa mtu kisha umuombe Mungu akupe wa kwako.
 
ushauri jamani wana JF

Umeamua kuingia katika mahusiano na mwanaume uneyefikiri kuwa kuwa ni chaguo sahii kuwa nae na unampenda sana.

Kakujengea mazingira ya uwazi, upendo mpaka mmefikia makubaliano ya muoane unachukua uamuzi wa kuwaeleza wazazi wako..

Anakuwa mwepesi sana wa kushiriki katika maswala yanayokuhusu na anakushirikisha katika mambo yake hivyo kakujengea uaminifu mkubwa.. Pmoja na hayo yote unagundua mwanaume huyo ni mume wa mtu.Je INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYEJE?

hapo chagua kumwagana nae au uwe mke wa pili
 
hv ng'ombe alieasiwa anaitwaje?
 
Hapo, unavumilia tu kwani wanaume kama sisi wenye imani za pakstani tunaruhusiwa kuoa wanawake wanne, kwa mkupuo ili mradi tu unauwezo wa kuwahudumia kiukweli,hii ni kutokana wanawake ni wengi kuliko wanaume, kama kaonesha nia basi usipoteze kinafasi.
 
Power of love, nadhani umenielewa?? Let the nature decide
 
Kama kakudanganya wewe,kumbuka kuna wengine kawadanganya
 
ushauri jamani wana JF

Umeamua kuingia katika mahusiano na mwanaume uneyefikiri kuwa kuwa ni chaguo sahii kuwa nae na unampenda sana.

Kakujengea mazingira ya uwazi, upendo mpaka mmefikia makubaliano ya muoane unachukua uamuzi wa kuwaeleza wazazi wako..

Anakuwa mwepesi sana wa kushiriki katika maswala yanayokuhusu na anakushirikisha katika mambo yake hivyo kakujengea uaminifu mkubwa.. Pmoja na hayo yote unagundua mwanaume huyo ni mume wa mtu.Je INGEKUWA NI WEWE UNGEFANYEJE?
Ndo uwazi gani huo sasa?
 
ningetoka ndukiiiiiiiiiiiiiiiiii cz mume wa mtu ni dhambi kumbuka utakuwa kimada tu hata iweje na nyumba ikijengwa kwenye hifdhi ya daladal lazima ivunjwee
 
Mlikuwa mnakutana wapi siku zote mpaka usijue kama kaoa,na kweli muda aliokuwa anakugaia wewe na mkeo umewatoshaje kiasi kwamba usigundue!!!!!!!!

Use your mind not ur heart
 
Back
Top Bottom