Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
Woyooooooooo Leo nimeamka na Shaba Ranks
Nakumbukaga zamani huu wimbo wa Ting a ling a ling nilivyokuwa nauimba zamani na sasa nikiangalia Lyrics nacheka kihutu
Eti nilikuwa naimba hivi:
Ting'aling'ali
Shabaransi
Nanananananaa X2 (hapo namumunya maneno)
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Shabaransi anasema starehe hazina mwisho
Kwenda Kwenda mpaka kule masjidi kumpata msichana yani mpaka ulipie x2
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Ting'aling'aling Shabaransi
Nanananananaa X2
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Shabaransi anasema starehe hazina mwisho
Kuja kuangalia OG lyrics dah nimeshindwa hata kuisoma labda nikivuta la Jamaica nitaielewa
Woyooooooooo nampendaje shaba ranks sijui yupo hai au kafa?!
Kapuye Kapuye
Aka Money penny
Money penny nimedondoka Darisalamaa
Wouyooooooooooo
Ps:
Sijavuta kitu ya Arusha nipo sober jama
Nakumbukaga zamani huu wimbo wa Ting a ling a ling nilivyokuwa nauimba zamani na sasa nikiangalia Lyrics nacheka kihutu
Eti nilikuwa naimba hivi:
Ting'aling'ali
Shabaransi
Nanananananaa X2 (hapo namumunya maneno)
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Shabaransi anasema starehe hazina mwisho
Kwenda Kwenda mpaka kule masjidi kumpata msichana yani mpaka ulipie x2
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Ting'aling'aling Shabaransi
Nanananananaa X2
Kapuye Kapuye kama Shabaransi
Shabaransi anasema starehe hazina mwisho
Kuja kuangalia OG lyrics dah nimeshindwa hata kuisoma labda nikivuta la Jamaica nitaielewa
Woyooooooooo nampendaje shaba ranks sijui yupo hai au kafa?!
Kapuye Kapuye
Aka Money penny
Money penny nimedondoka Darisalamaa
Wouyooooooooooo
Ps:
Sijavuta kitu ya Arusha nipo sober jama