Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
Kadiri unavyopenda zaidi, ndivyo unavyozidi kuumia. Yule unayempenda zaidi atakuumiza zaidi ikiwa huna uwezo wa kumwacha. Unampenda sana kiasi kwamba unavumilia madhaifu yake yote.
Upendo na maumivu ni mapacha wasioweza kutenganishwa. Jambo lililo chungu zaidi ni pale unapotambua kwamba uliyemchagua awe mpenzi wako na kumweka kama kipaumbele chako kwa muda mrefu, yeye hana mpango wowote nawe.
Kamwe usimpuuze mtu ambaye anakupenda kiukweli. Kamwe usimdhuru mtu kwa makusudi kwa sababu tu amekuumiza kwa bahati mbaya. Jumuumiza mtu, ambaye unajua atakusamehe ni ukatili mkubwa.
Usikimbie uhusiano ili kuepuka kuumia. Wakati upendo una umiza, lakini pia upendo huponya maumivu.
Mabishano, maumivu na migogoro na umpendaye ni jambo lisiloepukika. Ila ikiwa utashikamana, utapata nguvu zaidi.
Hata hivyo, ikiwa unayempenda ataendeleza unyanyasaji, hapo uhusiano utakuwa umevuka mipaka kutoka kwenye upendo hadi kuwa chuki.
Uhusiano ni two ways traffic. IT WON'T WORK IF ONLY ONE PERSON IS PUTTING IN THE EFFORT.
Kusimama peke yako ni bora kuliko kusimama na mtu ambaye anakuumiza kwa makusudi.
IT HURTS TO LET GO, BUT IT HURTS MORE TO HOLD ON TO ABUSE.
Mtu anaweza tu kuendelea kukuumiza ikiwa unamruhusu.
Ubarikiwe.
Upendo na maumivu ni mapacha wasioweza kutenganishwa. Jambo lililo chungu zaidi ni pale unapotambua kwamba uliyemchagua awe mpenzi wako na kumweka kama kipaumbele chako kwa muda mrefu, yeye hana mpango wowote nawe.
Kamwe usimpuuze mtu ambaye anakupenda kiukweli. Kamwe usimdhuru mtu kwa makusudi kwa sababu tu amekuumiza kwa bahati mbaya. Jumuumiza mtu, ambaye unajua atakusamehe ni ukatili mkubwa.
Usikimbie uhusiano ili kuepuka kuumia. Wakati upendo una umiza, lakini pia upendo huponya maumivu.
Mabishano, maumivu na migogoro na umpendaye ni jambo lisiloepukika. Ila ikiwa utashikamana, utapata nguvu zaidi.
Hata hivyo, ikiwa unayempenda ataendeleza unyanyasaji, hapo uhusiano utakuwa umevuka mipaka kutoka kwenye upendo hadi kuwa chuki.
Uhusiano ni two ways traffic. IT WON'T WORK IF ONLY ONE PERSON IS PUTTING IN THE EFFORT.
Kusimama peke yako ni bora kuliko kusimama na mtu ambaye anakuumiza kwa makusudi.
IT HURTS TO LET GO, BUT IT HURTS MORE TO HOLD ON TO ABUSE.
Mtu anaweza tu kuendelea kukuumiza ikiwa unamruhusu.
Ubarikiwe.