Mapenzi Yanaumiza

Mapenzi Yanaumiza

Hakuna formula ya kumjua mtu akupendaye kiukweli kwa sababu kwenye mapenzi kuna watu wanajua kuigiza.
Wakishakujua kwamba akili yako inawaza nini wanapita mlemle unapowaza wewe kwa kuangalia alama za mtu akupendaye.
Utakuja kuujua ukweli baada ya miaka kadhaa kupita huyo muhusika akishatimiza malengo yake.
Ninaposema "kukosea fomula" namaanisha ni kujiingiza ktk mapenzi kimihemko.

Me. Anaingia kwa kuvutiwa na umbile la ke

KE. Anaingia kwa kuvutiwa na urefu ama pesa nk

Mwisho wa siku wanashindwana baada ya kuzoeana kila mtu anavutia anaamua atakavyo yeye.

Mtu anayefuata fomula huwa kinyume na hayo niliyoyataja, yeye hupenda Ila huvuta subira kudhihirisha upendo wake, ni mvumilivu sana, hakimbilii kwenye ngono kabla ya ndoa.

Wewe ukiamini kuwa hakuna fomula mimi nitakujibu kuwa huo ni mtazamo wako, ila kiukweli ipo fomula.
 
Back
Top Bottom