DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 13,895
- 31,141
Ni utateseka😀yaan utapata tabuKama sio malaya je?
Ni utateseka😀yaan utapata tabuKama sio malaya je?
Kwahio vile vipengele vya hot period nani anamaliza? Au dildokuwa singo raha
Ninaposema "kukosea fomula" namaanisha ni kujiingiza ktk mapenzi kimihemko.Hakuna formula ya kumjua mtu akupendaye kiukweli kwa sababu kwenye mapenzi kuna watu wanajua kuigiza.
Wakishakujua kwamba akili yako inawaza nini wanapita mlemle unapowaza wewe kwa kuangalia alama za mtu akupendaye.
Utakuja kuujua ukweli baada ya miaka kadhaa kupita huyo muhusika akishatimiza malengo yake.
Na wakigundua kuwa unawafanya chombo cha starehe tu ndio utakwisha mapemaa.Wanawake Ni masters of manipulation
Ukiingia kwny mfumo wake UMEKWISHA
Utaumia na Hakuna rangi utaacha kuona![]()
Hongera mkuu Ila usijisahau sana.Binafsi nimeshajifunza kupenda,, swala la kuumizwa nitaishia kuliona kwa wengine tu.
Yani na mito mrushiane alafu no game 😅 uo ni uongo buanaMaisha ya usingo hayana furaha 💯..
Kuna wakati unafika unatamani kuwa na mtu karibu nawe..mcheke,mtaniane,mrushiane mito pasipo hata kupiga game lakini ndio hivyo Uko singo😌
HA unakariri sana punguza kidogoYani na mito mrushiane alafu no game 😅 uo ni uongo buana
SanaaYule unayempenda zaidi atakuumiza zaidi
Uwe hvyo na uwe muongo kiwango cha S.G.RIli uwini mapenzi lazima uwe Malaya unless yatakutesa sana


Kama sio malaya je?
😁😄 itapunguza utamHA unakariri sana punguza kidogo
Hayanaga muongozoUmeongea ukweli kabisa mapenz yanaumiza balaa somtym ukikumbwa unaweza tamani usimulie kilamtu 😀
Kweli aisee ni kuomba Mungu akupe mtu sahihi alaf kaka big tayari kuleHayanaga muongozo
Sijajua ahsante nimention kwenye huo muendelezo please.Kweli aisee ni kuomba Mungu akupe mtu sahihi alaf kaka big tayari kule
Kumbeee….Woi nilikuwa sijui😁😄 itapunguza utam