Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Duh... Bikira una miaka 30. Aisee hongera sana kwa kujitunza. Lakini nikupe pole kwa yaliyokufuata.Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Maneno mazito sana shukran umempa ushauri murua sanaAmekubikiri halafu akasepa. Na huyu huyu kesho na kesho kutwa utamkuta kwa akina Jokajeusi akilalamika kuwa siku hizi hakuna mabikra wa kuoa!
Kuhusu kuumia hakuna njia ya mkato binti yangu. Ni lazima uumie tu. Ila kwa kadri siku zinavyokwenda maumivu yataanza kupungua, kutaanza
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Kwahyo alikukuta bk bdo?Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Mkuu unanionea sanaWatu wenye maneno kama haya yaani kaa nao mbali maana huyu ndio atakuvunjavunja kabisaa akumalizie
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Anzisha mahusiano mapya, Ila usipeane kwanza.Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Kaza tu baada ya muda utapona.Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Dada na mimi nimeumizwa na mwanamke kama wewe sina hamu hapa.Njoo tuponyane maumivu ikipendeza tuoane kabisa
Duh pole sana Rafk hakuna budi kusonga mbeleAiseee pole Sana
Nimetoka kumuacha mwanamke niliempenda kwa moyo wangu wote kisa amemimbishwa na jamaa mwingine nikiwa masomoni.
Mapenzi nyoko, kuna lidada moja toka kule walikobalikiwa manyonyo na kunyimwa makalio alinitesa sana kabla sijajua siri hii...
Akiwa hana nguvu za kiume wengi huwa na visirani na huingia kweny ulevi na kuanza manyanyaso kwa wake zao. Hapo dawa ni amroge tuNa mimi nashangaa. Watu wanatoa ushauri as if wao wana demu au Mke Mmoja kumbe nao wahuni tu. Sema tu huyo mwanaume kakosea tu kukuonesha tabia hizo live bila haya ila alitakiwa afiche ujinga wake na akuoneshe upendo ila ndo ivyo pole . anyway kupata mwanaume wa Peke ako wapo ila either awe mlokole sana , upungufu wa nguvu za kiume, hana shughuli ya kueleweka, au umloge.
Wako wengi tu sema huwa wanapata wanawake malayaDuh!
Mkuu. Ukivuka 35+ huko inabidi sasa uanze kutulia na ukazane kuweka mambo sawa. Utafukuzana na mbususu mpaka lini? Kwenu vijana labda. Ila kama binadamu wa kawaida at some point itakulazimu utulie...and yes...wanaume marijali, wenye vihela vyao na wana mwanamke mmoja waaminifu kabisa kabisa wapo!
Yeye aendlee kufany ibada na kujituma sana kwny kaz zake atamsahau hayo makombe aachane nayoPole sana ili uweze kumsahau fanya ibada kwa wingingi pia tumia makombe ya sahau hivyo vitakusaidia
Wanawake sasa, kesho utapata mwingine akupende kweli ghafla huyo jamaa anarudi na unampa utamu tena aisee!