Mapenzi yanaumiza

The best advice she could use right now.
 
Elewa tu hakuna mwanaume lijali mwenye mtu 1 never...mtuvumilie tu
Na mimi nashangaa. Watu wanatoa ushauri as if wao wana demu au Mke Mmoja kumbe nao wahuni tu. Sema tu huyo mwanaume kakosea tu kukuonesha tabia hizo live bila haya ila alitakiwa afiche ujinga wake na akuoneshe upendo ila ndo ivyo pole . anyway kupata mwanaume wa Peke ako wapo ila either awe mlokole sana , upungufu wa nguvu za kiume, hana shughuli ya kueleweka, au umloge.
 
but why umeweka hiyo profile lakini

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Time heals everything, usiji force kumsahau kwa ghafla with time maumivu yataisha na utamsahau uwepo wake, Pole sana na karibuni ukubwani kwenye mahusiano umesha pata immunity ya kutokuumizwa kimapenzi.
 

Duh!

Mkuu. Ukivuka 35+ huko inabidi sasa uanze kutulia na ukazane kuweka mambo sawa. Utafukuzana na mbususu mpaka lini? Kwenu vijana labda. Ila kama binadamu wa kawaida at some point itakulazimu utulie...and yes...wanaume marijali, wenye vihela vyao na wana mwanamke mmoja waaminifu kabisa kabisa wapo!
 
 
Pole sana ili uweze kumsahau fanya ibada kwa wingingi pia tumia makombe ya sahau hivyo vitakusaidia
 
Maneno meeengi ili uwe na mwanaune wa peke yako tafuta asiye na hela....
 
Wanawake sasa, kesho utapata mwingine akupende kweli ghafla huyo jamaa anarudi na unampa utamu tena aisee!
 
Pole sana jitahidi kujichanganya na watu mbalimbali kuwa busy hayo yote yatapita ni kipindi cha muda tu.
 
Dyadya

Ndio maana kuna mafiga matatu


Pole


Shurti uumie ili ukomae....!!!
 
Njoo pm nikupe dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…