mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Miss Natafuta mama kupotea njia ndio kujua njianikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
unaongea tu mamy ! ila yote yana mwishoMiss Natafuta mama kupotea njia ndio kujua njia
Hatuwezi kufanana hata vidole vya mikono Na miguu havifanani
Mapenzi yana nafasi yake Na hizo hela zina nafasi yake
Tumeumbiwa kupenda kuumia Na kusahau
N kitendo cha mda tu this too shall pass
Good men are for good women and vice versa is true
Mama hakuna asiejua uchungu wa mapenziunaongea tu mamy ! ila yote yana mwisho
Nahisi wewe ndio unaesemewa NapaDeka unavyo Deka kama mtoto
Nitakubembeleza mimi wako oh
Nita zidi kupa vitu moto moto
Mapenzi kupendana sii mchezo
Nakusihi usijeniacha mimi solemba
Najisihi na mimi nisije kuacha wewe solemba
Usiende mbali nami
Kwani bado nakupenda
Usiondoke mbali nami
Mimi bado nakupenda
Ma umi vu ya mapenzi naogopa sanaa
Hata wivu ni nao kwani sina roho ya chuma.
Achana na Huyo, kumuwazia ni sawasawa na kusikitikia M. A. V. I yangebaki ungepata shida zaidi bora Huyo mlalahoi amejitoa. Kuna wanaume zaidi ya bilioni sayari hii, Tupa huko Hilo lonyalonyaNimekupenda with all my heart regardless hali duni yako.Nimekataa nusra kibao kwa ajili yako.Sikua mchoyo kwa chochote changu tulishirikiana,leo umeamua kufunga mwaka na mimi.Najua unanisoma hapa na ushajifahamu ila tambua siku zote ukimfanyia mtu madhila tegemea kulipwa hapa hapa akhera twaenda kuchukua hisabu tu..
Nachukua fursa hii kukuageni wana MMU wote na jf kwa ujumla nataka kuchukua maamuzi magumu.asanteni nawapenda
Wala sio uongo nyani Mzee hukoswa Na mishale mingiWewe sio wa kwanza na wala hutokua wa mwisho kuumizwa au kupitia hayo unayoyapitia.
Jikaze futa machozi songa mbele.
Ukiweza kulipita hili jaribu hata hayo mengine yatakayofuta ya kimapenzi utaweza kuyavumilia.
Mapenzi hayana wenyewe na kama wapo ni wachache wengi tunatembea mulemule kwenye maumivu
Hapa ndo uwa nasema cwez mlaumu mdada anaetembea na watu wazma ujui kaptia mangap had aafanye maamuz ya hvonikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
Unaweza usimuumize, kiki Za hivyo zinamgusa anayekupenda kweli Wengine waigizaji tuPole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
Haina hajaPole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
Unaweza usimuumize, kiki Za hivyo zinamgusa anayekupenda kweli Wengine waigizaji tu
Best hebu muelewane aseeDeka unavyo Deka kama mtoto
Nitakubembeleza mimi wako oh
Nita zidi kupa vitu moto moto
Mapenzi kupendana sii mchezo
Nakusihi usijeniacha mimi solemba
Najisihi na mimi nisije kuacha wewe solemba
Usiende mbali nami
Kwani bado nakupenda
Usiondoke mbali nami
Mimi bado nakupenda
Ma umi vu ya mapenzi naogopa sanaa
Hata wivu ni nao kwani sina roho ya chuma.
Noo! Let her do what she wantKuwaza maamuzi magum Na mabaya n ujinga
Imagine watu wako wa karibu wanavyokuchukulia
Leo ukajitoe mhanga sababu mwanaume mmoja tu
Jifunze kama hukupangiwa awe wako hawezi Kua hata Kwa dawa
Tena ukifosi yaweza kukuta mabaya ukajutia uamuzi wa kulazimisha
Jifunze kumwacha aende
Amekupa fundisho but hey not all men are the same
Watakutreat the way unavyojieka
Maamuzi unayoyataka kuyafanya jeee aliokutuma Mola wako umeyakamilisha?
Please don't do that
Jamani unaweza Kua umeyaokoa maisha ya mtu unajua me sihtaji afanye hivo najua n hasira zikipoa ataelewaNoo! Let her do what she want
Hiyo ni learning process anatakiwa ipitie kikamilifu i think its better we let her be. She ll learn.Jamani unaweza Kua umeyaokoa maisha ya mtu unajua me sihtaji afanye hivo najua n hasira zikipoa ataelewa