Mapenzi yanauma

Mapenzi yanauma

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
Doh bado unapenda kweli mdogo wangu?
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
Hakuna namna wapigwe tu.
Kwahiyo hapo ulipo unalia mkuu?
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
Una miaka mingap
 
Back
Top Bottom