Mapenzi yanauma sana

Mapenzi yanauma sana

clefting

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
222
Reaction score
393
Sasa ipo ivi kipindi naanza chuo nilikutana na mdada mmoja tunasoma course moja tukazoeana lecture tukawa tunakaa wote namsainia na kumfanyia assignment asipokuwepo kiukweli ule ukaribu ulinifanya nimpende Sana but sio mzuri sana

Tuna karibia kumaliza first year nikamtongoza akachomoa na kuniambia yeye ana boyfriend apo chuoni wa course nyingine japo ni first year

Sikukata tamaa nikafanya survey nikajua kweli anae but jamaa hampendi ila demu anamganda hiyo ikanipa moyo tukaendelea ivo ivo na ukaribu wetu mda mwingi nakuwa nae tunaenda coco beach maana hostel zipo karibu na coco

Second year nikakomaa tena lakn nikagonga mwamba nikaamua ku give up but akawa mda wote ananitafuta niliendelea kumkwepa ilikuwa rahis kumkwepa maana m nilianza kuishi geto
Tatizo likanza magroup mengi tukawa tunapangwa wote kwahyo kumsahau nikashindwa tukaendelea tena kuwa karibu nikamtongoza akapotezea tena

Tukiwa mwaka wa mwisho tukapagwa field group moja huko kijijini wanawake Kumbe yule demu kuna mshikaji mwingine wa class anamla ubaya yule mshikaji chumba chake na changu vilikuwa karibu alaf ceiling board imetoboka sana kias kwamba sauti nazisikia niliumia sana na sidhan km nishaumiaga km kipind hicho wakati wa kula wanalishana wakawa km wananikomoa na huyo mshikaj alikuwa anajua kabisa kwamba me nnasota pale
Kibaya zaidi yule mshikaji ana mademu watatu wazuri Sana kuliko huyo na alikuwa anamla kwasababu yupo mbali na madem zake

Nilipitia kipind kigumu sana mawazo yakanizid sana nikawa natumia mda mwingi kulala nikaji isolate na group members nikajitahid kusikiliza Sana nyimbo nakumbuka wimbo wa Juice world LUCID DREAM ndo niliusikiliza Sana hatimaye field ikaisha

Tulivyorudi chuo nikafuta namba zake na kukata mazoea kabisa tukikutana bahat mbaya tunasalimiana basi
Tukafanikiwa kumaliza chuo kila mtu akarudi kwao akawa ananitafuta ananiambia amenimiss namjibu asante
Naapa kabisa namchukia Sana huyo mwanamke
 
Naona kama ume niabisha mimi ...japo sikujui


Chuo kizima ukashindwa kutafta na wewe dem mkali zaidi yake wa kufanya uyo dem aji shtukie
 
Sasa kama alikuwa hakupendi ulitaka afanyeje si bora alikuambia ukweli au ulitaka akudanganye then akulie boom?
 
Umenikumbusha Allen wa chuo, alinipenda sana huyu kaka ila sikumuelewa kipindi kile. Nakumbuka alipanga twende out beach mimi na yeye tuu siku nzima, nikamkatalia na mitongozo yake yote nilimtolea nje. Alipomaliza chuo aka give up, siku moja miaka kadhaa baada ya kumaliza chuo tukakutana, akanisimilia mengi jinsi alivyokuwa anaumia kunikosa nikajikuta napata uchungu mkubwa kuzidi aliopata akiwa chuo.

Tukaagana kwa denda moja takatifu, tangu hapo hatujaonana tena.

K’ Matata.
 
kama lilikataa kwani lazima ue nalo, man sema izo sauti ata mi ningeumia maana nigetamani niwe mimi ndo nakula na ni kwa ajili ya tamaa tu.

achana nalo
 
Naona kama ume niabisha mimi ...japo sikujui


Chuo kizima ukashindwa kutafta na wewe dem mkali zaidi yake wa kufanya uyo dem aji shtukie
Hii mbinu niliifanya 2010 nikiwa chuo,,

Manzi alileta pozi,, nikajikoki kwa manzi mwingine, ambaye ni mkali zaid yake,, mtoto kumbe longtime alishazima na mm,, mzee ilikuwa kama nimeoa vile pale chuo,, full kufuliwa nguo, nitake nn nisipewe

Yule manzi aliyenichomolea kumbe wanafahamiana,, sasa ile mitoko ya hapa na pale yule manzi full kunitolea mimicho, na mm nilimfungia vyoo,, salam tu ndo ilikuwa yake,,

siku moja akaniambia et nlikuwa nakupima we ukaepa, nikabaki ku-smile tu,, na vile kule nishashikwa pumbuje,,

Dah ila tukaja mwagana na manzi wangu baada chuo kuisha,,

Ila kwa sasa yeye ni mtu maarufu Ishaa Allah Mola azidi kumnyooshea,,

Ila mara moja moja ananipiga tafu nikikwama
 
Sasa ipo ivi kipindi naanza chuo nilikutana na mdada mmoja tunasoma course moja tukazoeana lecture tukawa tunakaa wote namsainia na kumfanyia assignment asipokuwepo kiukweli ule ukaribu ulinifanya nimpende Sana but sio mzuri sana

Tuna karibia kumaliza first year nikamtongoza akachomoa na kuniambia yeye ana boyfriend apo chuoni wa course nyingine japo ni first year

Sikukata tamaa nikafanya survey nikajua kweli anae but jamaa hampendi ila demu anamganda hiyo ikanipa moyo tukaendelea ivo ivo na ukaribu wetu mda mwingi nakuwa nae tunaenda coco beach maana hostel zipo karibu na coco

Second year nikakomaa tena lakn nikagonga mwamba nikaamua ku give up but akawa mda wote ananitafuta niliendelea kumkwepa ilikuwa rahis kumkwepa maana m nilianza kuishi geto
Tatizo likanza magroup mengi tukawa tunapangwa wote kwahyo kumsahau nikashindwa tukaendelea tena kuwa karibu nikamtongoza akapotezea tena

Tukiwa mwaka wa mwisho tukapagwa field group moja huko kijijini wanawake Kumbe yule demu kuna mshikaji mwingine wa class anamla ubaya yule mshikaji chumba chake na changu vilikuwa karibu alaf ceiling board imetoboka sana kias kwamba sauti nazisikia niliumia sana na sidhan km nishaumiaga km kipind hicho wakati wa kula wanalishana wakawa km wananikomoa na huyo mshikaj alikuwa anajua kabisa kwamba me nnasota pale
Kibaya zaidi yule mshikaji ana mademu watatu wazuri Sana kuliko huyo na alikuwa anamla kwasababu yupo mbali na madem zake

Nilipitia kipind kigumu sana mawazo yakanizid sana nikawa natumia mda mwingi kulala nikaji isolate na group members nikajitahid kusikiliza Sana nyimbo nakumbuka wimbo wa Juice world LUCID DREAM ndo niliusikiliza Sana hatimaye field ikaisha

Tulivyorudi chuo nikafuta namba zake na kukata mazoea kabisa tukikutana bahat mbaya tunasalimiana basi
Tukafanikiwa kumaliza chuo kila mtu akarudi kwao akawa ananitafuta ananiambia amenimiss namjibu asante
Naapa kabisa namchukia Sana huyo mwanamke
Mh2 mpo hivo tu,
 
Back
Top Bottom