clefting
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 222
- 393
Sasa ipo ivi kipindi naanza chuo nilikutana na mdada mmoja tunasoma course moja tukazoeana lecture tukawa tunakaa wote namsainia na kumfanyia assignment asipokuwepo kiukweli ule ukaribu ulinifanya nimpende Sana but sio mzuri sana
Tuna karibia kumaliza first year nikamtongoza akachomoa na kuniambia yeye ana boyfriend apo chuoni wa course nyingine japo ni first year
Sikukata tamaa nikafanya survey nikajua kweli anae but jamaa hampendi ila demu anamganda hiyo ikanipa moyo tukaendelea ivo ivo na ukaribu wetu mda mwingi nakuwa nae tunaenda coco beach maana hostel zipo karibu na coco
Second year nikakomaa tena lakn nikagonga mwamba nikaamua ku give up but akawa mda wote ananitafuta niliendelea kumkwepa ilikuwa rahis kumkwepa maana m nilianza kuishi geto
Tatizo likanza magroup mengi tukawa tunapangwa wote kwahyo kumsahau nikashindwa tukaendelea tena kuwa karibu nikamtongoza akapotezea tena
Tukiwa mwaka wa mwisho tukapagwa field group moja huko kijijini wanawake Kumbe yule demu kuna mshikaji mwingine wa class anamla ubaya yule mshikaji chumba chake na changu vilikuwa karibu alaf ceiling board imetoboka sana kias kwamba sauti nazisikia niliumia sana na sidhan km nishaumiaga km kipind hicho wakati wa kula wanalishana wakawa km wananikomoa na huyo mshikaj alikuwa anajua kabisa kwamba me nnasota pale
Kibaya zaidi yule mshikaji ana mademu watatu wazuri Sana kuliko huyo na alikuwa anamla kwasababu yupo mbali na madem zake
Nilipitia kipind kigumu sana mawazo yakanizid sana nikawa natumia mda mwingi kulala nikaji isolate na group members nikajitahid kusikiliza Sana nyimbo nakumbuka wimbo wa Juice world LUCID DREAM ndo niliusikiliza Sana hatimaye field ikaisha
Tulivyorudi chuo nikafuta namba zake na kukata mazoea kabisa tukikutana bahat mbaya tunasalimiana basi
Tukafanikiwa kumaliza chuo kila mtu akarudi kwao akawa ananitafuta ananiambia amenimiss namjibu asante
Naapa kabisa namchukia Sana huyo mwanamke
Tuna karibia kumaliza first year nikamtongoza akachomoa na kuniambia yeye ana boyfriend apo chuoni wa course nyingine japo ni first year
Sikukata tamaa nikafanya survey nikajua kweli anae but jamaa hampendi ila demu anamganda hiyo ikanipa moyo tukaendelea ivo ivo na ukaribu wetu mda mwingi nakuwa nae tunaenda coco beach maana hostel zipo karibu na coco
Second year nikakomaa tena lakn nikagonga mwamba nikaamua ku give up but akawa mda wote ananitafuta niliendelea kumkwepa ilikuwa rahis kumkwepa maana m nilianza kuishi geto
Tatizo likanza magroup mengi tukawa tunapangwa wote kwahyo kumsahau nikashindwa tukaendelea tena kuwa karibu nikamtongoza akapotezea tena
Tukiwa mwaka wa mwisho tukapagwa field group moja huko kijijini wanawake Kumbe yule demu kuna mshikaji mwingine wa class anamla ubaya yule mshikaji chumba chake na changu vilikuwa karibu alaf ceiling board imetoboka sana kias kwamba sauti nazisikia niliumia sana na sidhan km nishaumiaga km kipind hicho wakati wa kula wanalishana wakawa km wananikomoa na huyo mshikaj alikuwa anajua kabisa kwamba me nnasota pale
Kibaya zaidi yule mshikaji ana mademu watatu wazuri Sana kuliko huyo na alikuwa anamla kwasababu yupo mbali na madem zake
Nilipitia kipind kigumu sana mawazo yakanizid sana nikawa natumia mda mwingi kulala nikaji isolate na group members nikajitahid kusikiliza Sana nyimbo nakumbuka wimbo wa Juice world LUCID DREAM ndo niliusikiliza Sana hatimaye field ikaisha
Tulivyorudi chuo nikafuta namba zake na kukata mazoea kabisa tukikutana bahat mbaya tunasalimiana basi
Tukafanikiwa kumaliza chuo kila mtu akarudi kwao akawa ananitafuta ananiambia amenimiss namjibu asante
Naapa kabisa namchukia Sana huyo mwanamke



