Mapenzi yanaua ubongo wa wanaume.

Probably ni kweli..
 

Attachments

  • 507DA360-3B83-4D7A-94C4-01A06B782C1F.MP4
    721.8 KB
Upo sawa og poster, na ukisema mapenzi naona unakosea, ni lile tendo la kutoa shahawa mara kwa mara ndio huleta hizi side effects ulozitaja na nyingine nyingi hujazitaja.
Mapenzi yanaweza fanyika pasipo kutoa shahawa, this is the kind of sex that will make u enjoy the pussy whithout kuwa affected na side effects za excessive ejaculation of semen.
Naomba niishie kwa hapa kwa sasa, kwa sababu ni somo/ issue pana sana.
 
kuna kaukweli, but ingependeza mleta uzi angedadavua vema....nnachokiona hapa ni kama kujaribu kuitishia Jinsia Me,...but unapozungumizia MAPENZI, kuna pande mbili....na hii mada imekaa kuelimishana.....haswa wazee wa bao 5 sijui...
 
Utafiti huu umeufanyia chumbani au wapi?
 
Naweza kuamini kwa sababu nelson Mandela alifungwa miaka 27.it means papuchi alikua haipat Mara kwa Mara na ndio maana ameish miaka ming sana( 95+)


What about Robert Mugabe one might argue?!

Naye hali papuchi??😁😁
 
mkuu nawezaje ku enjoy pussy bila kutoa shahawa au katerero hebu hili somo lipatiwe uzi wake tafadhari.
 
Reactions: Oii
Hao ndio wapo kwenye hatari ya kupoteza uwezo wa ubongo[emoji1787]
kuna kaukweli, but ingependeza mleta uzi angedadavua vema....nnachokiona hapa ni kama kujaribu kuitishia Jinsia Me,...but unapozungumizia MAPENZI, kuna pande mbili....na hii mada imekaa kuelimishana.....haswa wazee wa bao 5 sijui...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…