Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
- Thread starter
- #221
when you go tigo you never come backMkuu wewe mle tigotuu....aidha mpe hela
when you go tigo you never come backMkuu wewe mle tigotuu....aidha mpe hela
....mji mzito huu.Kuna demu nilikuwa naye chuo ana mshkaji wake anajidai yeye anajua kupenda dunia nzima demu akaanza kubadilika ghafla kumbe ana kibendi siku tumemaliza UE faster akawahi kwa mshkaji wake wa home achape mbususu ili mpango wao wa kuoana uendelee na alifanikiwa kwa hilo.Ndugu vyuoni mademu karibu wote wana watu wao huko mikoani ila class kuna mwamba anayemsaidia akiwa na assigment lazima achape,kuna lecture anachapa,mtaani kwao walipopanga kuna wakati demu anafulia kuna mtu huwa anampiga tafu na zawadi yake ni mbususu lakini kuna mtu ana kausafiri na kumtoa out ndio anaipukuchua mbususu kukuzidi wewe,kwa ushauri jiandea kwa lolote.
Ana tako??Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
boya kweli ..😆Mzee wa nje ya boksi