Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Kuna demu nilikuwa naye chuo ana mshkaji wake anajidai yeye anajua kupenda dunia nzima demu akaanza kubadilika ghafla kumbe ana kibendi siku tumemaliza UE faster akawahi kwa mshkaji wake wa home achape mbususu ili mpango wao wa kuoana uendelee na alifanikiwa kwa hilo.Ndugu vyuoni mademu karibu wote wana watu wao huko mikoani ila class kuna mwamba anayemsaidia akiwa na assigment lazima achape,kuna lecture anachapa,mtaani kwao walipopanga kuna wakati demu anafulia kuna mtu huwa anampiga tafu na zawadi yake ni mbususu lakini kuna mtu ana kausafiri na kumtoa out ndio anaipukuchua mbususu kukuzidi wewe,kwa ushauri jiandea kwa lolote.
 
Kuna demu nilikuwa naye chuo ana mshkaji wake anajidai yeye anajua kupenda dunia nzima demu akaanza kubadilika ghafla kumbe ana kibendi siku tumemaliza UE faster akawahi kwa mshkaji wake wa home achape mbususu ili mpango wao wa kuoana uendelee na alifanikiwa kwa hilo.Ndugu vyuoni mademu karibu wote wana watu wao huko mikoani ila class kuna mwamba anayemsaidia akiwa na assigment lazima achape,kuna lecture anachapa,mtaani kwao walipopanga kuna wakati demu anafulia kuna mtu huwa anampiga tafu na zawadi yake ni mbususu lakini kuna mtu ana kausafiri na kumtoa out ndio anaipukuchua mbususu kukuzidi wewe,kwa ushauri jiandea kwa lolote.
....mji mzito huu.

Mtu kama anajihisi ni mbovu kwenye mahusiano ni bora aache kabisa.

Watu wanakunywa sumu
 
Uyo umemfaham mmoja tena wa mkoa
Nipe namba yake uone ka atapona....vitot vya chuo sio guarantee piga tu..
 
Habari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.

Ana tako??
 
Back
Top Bottom