Both team to scoreHabari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
Hahahaha akiidharau hii sentensi atapata tabu Sana "Naongeza with ekspiriensi"Hahaa mm nakushauri tafuta mwingine naww unaemkubali, huyo usimuache.....halafu acha maisha yaendelee Utakuja kunishukuru baadae.
mambo sijui ya future mke sijui nampenda sana achana nayo Mzee japo ikitokea sio mbaya ...usipo angalia ndugu utakuja na siredi ya kulia siku moja hapa.
Naongeza with eksipiriensi 😁🙌
Dogo nakuhakikishia kwa asilimia 98.99 usipokuwa makini you will regret forever.Nimemuacha
Nikapigiwa simu na rafiki yake anaumwa
Wamempeleka hospitali ugonjwa hauonekani
Nilipofika akapata nguvu + kulia
Anasema Kuna reason behind inayosababisha hivyo
Muda ukifika ataniambia
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Both team to score
Omba ushauri namna ya kupunguza supplementaryHabari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
mmh hivi unaakili dogo.. wewe ndo unaempenda huyo dem,, yeye ana mtu wake ambae wametoana mbali.. hayo ni mapenzi ya chuo.. epuka sana kujiingiza kwa miguu yote,, hujamaliza chuo hilo ni moja,, huku mtaani hujajua unakuja kuanzaje.. kiufupi unasafari ndefu kama mwanaume... nachokushauri kama kaka yako "Punguza ukaribu taratibu, ipe akili yako uwezo wa kawaida wa kufikiri, mchunguze kwa makini" .Nimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Shukrani brommh hivi unaakili dogo.. wewe ndo unaempenda huyo dem,, yeye ana mtu wake ambae wametoana mbali.. hayo ni mapenzi ya chuo.. epuka sana kujiingiza kwa miguu yote,, hujamaliza chuo hilo ni moja,, huku mtaani hujajua unakuja kuanzaje.. kiufupi unasafari ndefu kama mwanaume... nachokushauri kama kaka yako "Punguza ukaribu taratibu, ipe akili yako uwezo wa kawaida wa kufikiri, mchunguze kwa makini" .
.
.
mwanamke ana jeuri gani ya kukwambia eti wanaume wawili wote amewahold... kha!! hii dunia inaenda kasi sana, mtakuja kuolewa na wanawake kwa mafungu kama nyanya!!
.
.
pole mdogo wangu, tumia akili na ujue wewe ni mwanaume, baba wa familia, kiumbe mwenye mamlaka, na zaidi msomi.
Alivyokua analia alitoa machozi au alipiga tu keleleNimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Usikute ni wale ambao wana act kulia hawana hata tone la chozi... Wanawake wa kuishi nao kwa akili sana... Hapo gonga sepaHata mimi nilipokuwa bado mdogo kama wewe nilikuwaga naamini kwamba msichana akilia machozi anamaanisha ndo anasema ukweli kwa asilimia zote kumbe...
Huyo demu hana msimamo ogopa kupoteza muda
Wewe hata sio mzinzi, wewe ndo unajifunza...kwa wazinzi wala wasingemind situation hii...ndo kwanzaaaa wangefurahDaah
Binti kanitoa kwenye uzinzi sugu
Nimekaa sawa ndo yanatokea haya
Alitoa machoziAlivyokua analia alitoa machozi au alipiga tu kelele
Umeongea kituWewe hata sio mzinzi, wewe ndo unajifunza...kwa wazinzi wala wasingemind situation hii...ndo kwanzaaaa wangefurah
Mzee wa nje ya boksiTake my point! kama unaweza kumiliki vitu viwili kwa kipindi hki elimu yako na future ya mke basi peleke barua umuowe! hzo elimu zpo tuu! usije ukakosa mke uliyempenda maisha yko yote! sku hzi hta ukiwa na BBA utakosa ajira matokeo yke unaambiwa uwe mjasiriamali..
Oya Mwanangu hivi wewe sio Nazaeli kweli wewe... achana na Angel ata kuuwa wee mtoto....
Mkuu wewe mle tigotuu....aidha mpe helaHabari yenu wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa. Ninampenda & analifahamu hilo. Ndo niliepanga toka awali awe mama watoto (Kama Mungu atabariki). Nimekuja kugundua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana. Nimemuomba aachane na huyo jamaa kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia. Nimemuuliza Kama ana future naye. Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa. Make niko njia panda. Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.