Blaza Musa
Member
- May 25, 2013
- 28
- 5
Baada ya kuzunguka huku na kule nilifanikiwa kupata msichana kupitia forum hii ya love connect ofcoz ni msichana mzuri sana na yupo serious na mahusiano tatizo ni kwamba nahisi kama namuonea sababu kuna vitu vingi sana tupo tofauti ila yeye kila mara amekuwa anajitahidi kufuata upande wangu.Nataka kuachana naye lkn siwezi coz hajanikosea chochote halafu na upole wake nafsi inakataa ila tatizo ni kwamba vitu vingi hatuendani.Naombeni ushauri.
Hahahahaaaaaa!! Babu Asprin naona ile kampeni yako inaendelea ya kuhakikisha sipati mtu humu ndani! hivi na upole huu bado unanisingizia mazito hivyo!! Muulize hata mdogo wangu Paulo Sergio De Souz atakuambia nilivyo mpole.
Hehe. No comment.
Hapo nilikuwa nasubiri uje na bonge la picha la yule jamaa yako niliyemuhonga kiwembe.
Namuomba mimi ukishamuacha... Lol, love is about sacrife.. Be A Man
Hamuendan Kwa Yapi?? Sababu Zingine Zinarekebishika!!!
Mvumilie au umwambie ukweli kuwa huwezi kuendelea naye kwa sababu ulizonazo mwenyewe ila usiendelee kumpotezea wakati.
Basi ungeelezea vizuri aina ya mwanamama unayempenda sasa kama chakaramu
Namuomba mimi ukishamuacha... Lol, love is about sacrife.. Be A Man
Ukishamega unaona mko tofauti...!