Habari wanaJF,
Nina mpenzi wangu ambaye kimsingi tunapendana na tumekubaliana kufunga ndoa mwaka huu, na hata amefikia hatua ya kunitambulisha kwao.
Tatizo linaloninyima raha ni yeye kuondoka ama kusafiri bila kunipa taarifa, mara utasikia yupo kigoma kikazi au kafika nyumbani akitokea safari bila ya taarifa yoyote. Mie kwangu inaninyima raha kwani naona ni kama ananikosea sana, nilishamwambia kuhusu hili tatizo na yeye akasema anafanya surprise. Ila ni surprise gani hata kwa mambo ya msingi? .
Naombeni mnisaidie kwa ushauri ili nihinusuru haya mahusiano.nawasilisha
Nina mpenzi wangu ambaye kimsingi tunapendana na tumekubaliana kufunga ndoa mwaka huu, na hata amefikia hatua ya kunitambulisha kwao.
Tatizo linaloninyima raha ni yeye kuondoka ama kusafiri bila kunipa taarifa, mara utasikia yupo kigoma kikazi au kafika nyumbani akitokea safari bila ya taarifa yoyote. Mie kwangu inaninyima raha kwani naona ni kama ananikosea sana, nilishamwambia kuhusu hili tatizo na yeye akasema anafanya surprise. Ila ni surprise gani hata kwa mambo ya msingi? .
Naombeni mnisaidie kwa ushauri ili nihinusuru haya mahusiano.nawasilisha