habari za asubuhi wana jf wenzangu,,mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu,,
muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala,,naombeni ushauri wenu jamani
In life there is no fairy tales, no happily ever afters, no prince charming. In life it's reality where you are gonna be hurt, you are gonna cry. But the best thing about reality is that there is a tomorrow.
kaka nilipanga 2014 nimuoe huyu mwanamke,,maana nilishamwambia kwamba baada ya kumalizaa masterz yangu ndo namuoa na yeye akakubali,,lakini baada ya kuanza kazi ndo kabadilika sana,,
habari za asubuhi wana jf wenzangu,,mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu,,
muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala,,naombeni ushauri wenu jamani
Umeshawah kupenda mkuu?moyo unaweza kumpenda mtu sana kias kwamba hata akitokea bint mwngne mzur kuliko yeyd,kamzid kila kitu unaeza ucmpende huyo mtu kama ulivompenda yule..Hivi wewe utampendaje mtu asiekupenda??? Wanawako wako kibao tena wanatafuta wanaume na wazuri kuliko huyo x wako na wana elimu,ustaarabu na pesa kuliko huyo wako.Tafuta mzuri kuliko yeye na utamsahau ndani ya dk.1 alafu atakutaka yeye sasa.Mateso yako hayana nguvu kwangu naona uzembe wako unachangia.
habari za asubuhi wana jf wenzangu,,mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu,,
muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala,,naombeni ushauri wenu jamani
Umeshawah kupenda mkuu?moyo unaweza kumpenda mtu sana kias kwamba hata akitokea bint mwngne mzur kuliko yeyd,kamzid kila kitu unaeza ucmpende huyo mtu kama ulivompenda yule..
Hapo n kukubaliana na ukwel mchungu kujtahd kumove on...ila haiwez kua ndan ya dak moja..time heals japo makovu yanabak