habari wana MMU...ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya.
ningependa kuwashirikisha hili coz najua nitapata mawazo mbalimbali ya kujenga na si kubomoa hivyo naomba michango yenu ya dhati.
imepita miaka kama saba hivi tangu nimeachana na niliyekuwa nikimpenda kwa dhati na mpaka sasa ninampenda,tatizo nimeingia kwenye relationship na mwanaume mwingine tuna kama wiki tatu, lakini naona kama sio mtu sahihi kwangu coz moyo wangu bado unampenda my ex sijui nifanyaje naombeni mawazo yenu.
je niendelee na huyuhuyu au? note:huyu wa sasa naweza nikakaa hata siku tatu hata ngapi bila kuwasiliana naye na nikaona ni sawa tu.
ningependa kuwashirikisha hili coz najua nitapata mawazo mbalimbali ya kujenga na si kubomoa hivyo naomba michango yenu ya dhati.
imepita miaka kama saba hivi tangu nimeachana na niliyekuwa nikimpenda kwa dhati na mpaka sasa ninampenda,tatizo nimeingia kwenye relationship na mwanaume mwingine tuna kama wiki tatu, lakini naona kama sio mtu sahihi kwangu coz moyo wangu bado unampenda my ex sijui nifanyaje naombeni mawazo yenu.
je niendelee na huyuhuyu au? note:huyu wa sasa naweza nikakaa hata siku tatu hata ngapi bila kuwasiliana naye na nikaona ni sawa tu.