Mapenzi yametawala na nyuzi zenye tija zinakosa wachangiaji

Mapenzi yametawala na nyuzi zenye tija zinakosa wachangiaji

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,152
Achana na siasa, leo nimeshangaa kuona nyuzi za ajira humu JF hazipati engagement kabisa japo watu wanalalamikia kuwa majobless na ugumu wa maisha. Kwani shida ni nini?

Screenshot 2025-07-08 at 21.37.36.png


Kama mdau wa uandishi wa nyuzi za masihara, mapenzi na mahusiano ambazo huwa zinapata uchangiaji mkubwa wa wanajukwaa, nimeshangazwa na utofauti wa mapokeo ya nyuzi hizi za fursa.

Haya watani zangu Big Balls na Mbaga Jr labda tuwe tunapita na humu kwenye nyuzi za ajira na opportunities tunaweka videos za bonge la dada na makalio ili watu wachukulie serious opportunies zinazopatikana JF.

Cc:
Mama Ndege
Baba Ndege secretarybird
min -me
Aaliyyah
Shyshka Reinhardt
 
Achana na siasa, leo nimeshangaa kuona nyuzi za ajira humu JF hazipati engement kabisa japo watu wanalalamikia kuwa majobless na ugumu wa maisha. Kwani shida ni nini?

View attachment 3398523

Kama mdau wa uandishi wa nyuzi za masihara, mapenzi na mahusiano ambazo huwa zinapata engament kubwa, nimeshangazwa na utofauti wa mapokeo ya nyuzi hasa hizi za fursa.

Haya watani zangu labda tuwe tunapita na humu kwenye nyuzi za ajira na opportunities tunaweka videos za bonge la dada na makalio ili watu wachukulie serious opportunies zinazopatikana JF.

Cc:
Mama Ndege
Baba Ndege secretarybird
big
Shyshka Reinhardt







Kama mdau wa kuandika nyuzi za
Sawa
 
Umekosa option nyingine Kapike mandaz bint zaman
 

Attachments

  • FB_IMG_1744235149531.jpg
    FB_IMG_1744235149531.jpg
    13.3 KB · Views: 15
  • FB_IMG_1744235149531.jpg
    FB_IMG_1744235149531.jpg
    13.3 KB · Views: 23
Achana na siasa, leo nimeshangaa kuona nyuzi za ajira humu JF hazipati engement kabisa japo watu wanalalamikia kuwa majobless na ugumu wa maisha. Kwani shida ni nini?

View attachment 3398523

Kama mdau wa uandishi wa nyuzi za masihara, mapenzi na mahusiano ambazo huwa zinapata engament kubwa, nimeshangazwa na utofauti wa mapokeo ya nyuzi hasa hizi za fursa.

Haya watani zangu labda tuwe tunapita na humu kwenye nyuzi za ajira na opportunities tunaweka videos za bonge la dada na makalio ili watu wachukulie serious opportunies zinazopatikana JF.

Cc:
Mama Ndege
Baba Ndege secretarybird
Big Balls
Mbaga Jr
Aaliyyah
Shyshka Reinhardt
Kazi moja applicant 1000 😅😅😅..
Vijana wanaamua kutulia tu..

Kuna kazi niliomba bank mmoja ya kigeni.. nilipata interview mbili nasubiri ya mwishoo.. mshahara wote naupeleka kwa bonge la dada.. ila watu tulikutana nyomiii.. kilichokata watu experience.. ajira zimeisha kuwa na vita kubwaaa sana.. unahitaji masifa mengi ya ziada ili kutoboa, moya wapo pia kuyomba ni sifa ya msinhi
 
Nikisema vilaini laini namaanisha kwakingereza topik ya movement from one place to another like up and down movement au kuendesha pikipiki you see
Hebu nyoosha maelezo, unataka kusemaje kwani?
 
Back
Top Bottom