Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,830
- 119,003
Ongeza watoto Pastor Muyamba! Usitishike. Kama itatokea mkuu wetu akaupitia huu uzi wako, anaweza hata kukuzawadia burungutu la hela! maana alishaturuhusu kitambo tufyatue tu kwa sababu tuna ardhi ya kutosha na nchi yetu ni kubwa sana hii! Hatuna kabisa kesi za overpopilation!