pastor muyamba
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 252
- 135
Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.
