Mapenzi yaliniumiza mpaka nikarudi shule

what you say may be its true. but I have already opened the doors to another relationship. Although I still need time to get to know each other better

Naona unatumia vyema elimu yako ya QT safi sana...
 
Utampenda mwingine atakwambia anataka kuoa ambaye hajasoma, utaumia hadi uchome vyeti vyako.
 
what you say may be its true. but I have already opened the doors to another relationship. Although I still need time to get to know each other better

Umefika level ya chuo kipi ?
Chuo cha madrasa
Chuo cha kati au
Chuo kikuu ?
 
Aisee!!!!, Nimejifunza kitu, kumbe unaweza kupitia tatizo fulani ili kupitia Shida hiyo uweze kuvuka na kufika mbali kimaisha.
 
Hongera sana kwa kuiondoa ile dharau.sema utakaye mpata sasa atasema hataki mke asiye na kazi.so tafuta na hela zako kabisa
 
Kuhusu kumsomesha hakuna kitu kama hicho wewe,mabaharia tulishakubaliana kuwa mchumba HASOMESHWI.wengi wamelizwa.
Umetoa sadaka tu mzee kama unampenda. Hivyo akikuliza basi unasahau ada yako kama tunavyosahau sadaka na mafungu la 10 kwa mchungaji. Unajiongezea thawabu kwa Mungu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…