Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?
Mapenzi ya Simu? yaani sms,kukupigia simu, inawezekana kwa sasa yupo busy.! hebu ongea nae ili ujue kwa sasa ratiba yake ipo vipi? sometimes anaweza kuwa yupo katika kibarua ambacho hapati muda wa kujibu SMS,ku-text,kukupigia simu.
Mapenzi ya Simu? yaani sms,kukupigia simu, inawezekana kwa sasa yupo busy.! hebu ongea nae ili ujue kwa sasa ratiba yake ipo vipi? sometimes anaweza kuwa yupo katika kibarua ambacho hapati muda wa kujibu SMS,ku-text,kukupigia simu.
natambua hilo suala mwenyewe nipo kwny kibarua kigumu ,she is nt the same i used 2 knw cz hata tukiongea atakatisha 2 maongezi na hata cku 2kiwa 2nachart nikim2mia 2 sms ya mapenz ndo kama nimemfukuza hajibu tena txt
Ndio ukweli wenyewe NN si unaona hapa MMU malalamiko ya wadada na wakaka kila kukicha katika idara hii nyeti ya mapenzi...huyu katendwa hivi na yule katendwa vile ali mradi tu purukushani za kila aina katika hii idara ya mapenzi.
Ndio ukweli wenyewe NN si unaona hapa MMU malalamiko ya wadada na wakaka kila kukicha katika idara hii nyeti ya mapenzi...huyu katendwa hivi na yule katendwa vile ali mradi tu purukushani za kila aina katika hii idara ya mapenzi.