Mapenzi yako wapi hapa?

Milestone

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
376
Reaction score
410
Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?
 
Km kusoma hujui...hata picha huwezi kuangalia?
 
Mna matatizo sana nyie mnaoendekeza mapenzi ya simu na online....imagine enzi zile hakuna hivyo vitu watu waliishije??
 
Mapenzi ya Simu? yaani sms,kukupigia simu, inawezekana kwa sasa yupo busy.! hebu ongea nae ili ujue kwa sasa ratiba yake ipo vipi? sometimes anaweza kuwa yupo katika kibarua ambacho hapati muda wa kujibu SMS,ku-text,kukupigia simu.
 
Mapenzi ya Simu? yaani sms,kukupigia simu, inawezekana kwa sasa yupo busy.! hebu ongea nae ili ujue kwa sasa ratiba yake ipo vipi? sometimes anaweza kuwa yupo katika kibarua ambacho hapati muda wa kujibu SMS,ku-text,kukupigia simu.

natambua hilo suala mwenyewe nipo kwny kibarua kigumu ,she is nt the same i used 2 knw cz hata tukiongea atakatisha 2 maongezi na hata cku 2kiwa 2nachart nikim2mia 2 sms ya mapenz ndo kama nimemfukuza hajibu tena txt
 
Mna matatizo sana nyie mnaoendekeza mapenzi ya simu na online....imagine enzi zile hakuna hivyo vitu watu waliishije??

hii ndo dunia 2nayoishi na hzo ndo changamoto mezani
 
pole,something is wrong somewhere,kuna mtu anaingilia network!
 
Ndio ukweli wenyewe NN si unaona hapa MMU malalamiko ya wadada na wakaka kila kukicha katika idara hii nyeti ya mapenzi...huyu katendwa hivi na yule katendwa vile ali mradi tu purukushani za kila aina katika hii idara ya mapenzi.

Lol...Bubu bana.:becky:
 
Ndio ukweli wenyewe NN si unaona hapa MMU malalamiko ya wadada na wakaka kila kukicha katika idara hii nyeti ya mapenzi...huyu katendwa hivi na yule katendwa vile ali mradi tu purukushani za kila aina katika hii idara ya mapenzi.

Yeah ni kweli lakini.

Jinsi ulivyompa ukweli ni so simple hadi nikacheka. Hukuremba wala nini.
 
kuna thery moja sijui ni ya kweli inasema "UKIONA MANYOYA UJUE KESHALIWA HUYO"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…