Mapenzi ya wizi

Mapenzi ya wizi

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,618
Reaction score
27,596
Nadhani mapenzi ya wizi ni matamu sana,kuna dada kamdanganya mmewe kua ana sup wakati hana yupo kwa mchepuko,kanogewa vibaya na nilimuuliza unafata nin akasema namfata J ananifanya kweli kweli,basi mmewe keshapiga simu balaa anadanganywa tu ,,ila kama mtu hauko tayari kuingia kwenye ndoa acha tu
Tulieni kwenye ndoa zenu waelekezeni waume zenu wawafanye mnavyotaka,,na kama mtu humtaki mwambie tu
 
Nadhani mapenzi ya wizi ni matamu sana,kuna dada kamdanganya mmewe kua ana sup wakati hana yupo kwa mchepuko,kanogewa vibaya na nilimuuliza unafata nin akasema namfata J ananifanya kweli kweli,basi mmewe keshapiga simu balaa anadanganywa tu ,,ila kama mtu hauko tayari kuingia kwenye ndoa acha tu
Tulieni kwenye ndoa zenu waelekezeni waume zenu wawafanye mnavyotaka,,na kama mtu humtaki mwambie tu
Si umuambie moja kwa moja au unauhakika yumo humu?
 
Acha ukiherehere usiwe unaqoute uzi,halaf wanaoandika humu wanaowaandikia wapo humu,basi nimekuambia wewe ujumbe umefika
Sasa naona vitu vingi sana vya ajabu,mtu uko naye si umuambie tu!Wabongo kwa umbeya!
 
Nadhani mapenzi ya wizi ni matamu sana,kuna dada kamdanganya mmewe kua ana sup wakati hana yupo kwa mchepuko,kanogewa vibaya na nilimuuliza unafata nin akasema namfata J ananifanya kweli kweli,basi mmewe keshapiga simu balaa anadanganywa tu ,,ila kama mtu hauko tayari kuingia kwenye ndoa acha tu
Tulieni kwenye ndoa zenu waelekezeni waume zenu wawafanye mnavyotaka,,na kama mtu humtaki mwambie tu
Anamfanya au ana Mfira..... Kwani kabla ya kuingie kwenye hiyo ndoa hakuwa anafanywa na huyo mume wake au amekuja kujua kufanywa tofauti huko alikoenda kufanya supplimentary..

Wanawake mnazidi kuzitia sugu Sehemu zenu za Kutolea haja kubwa na Ndogo Bure. I hate this
 
Anamfanya au ana M****..... Kwani kabla ya kuingie kwenye hiyo ndoa hakuwa anafanywa na huyo mume wake au amekuja kujua kufanywa tofauti huko alikoenda kufanya supplimentary..

Wanawake mnazidi kuzitia sugu Sehemu zenu za Kutolea haja kubwa na Ndogo Bure. I hate this
Sawa ujumbe umefika
 
Back
Top Bottom