Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,935
- 183,395
Sasa nifanyeje jamani!! Na yeye kwanini akose manoti!!Aaaah kama hana manoti basi unamwacha?
Sasa nifanyeje jamani!! Na yeye kwanini akose manoti!!Aaaah kama hana manoti basi unamwacha?
ST weww utavumilia?Upendo wa kweli hupimwa pale Umbo lake linapofifia na ile Mijihips uliyompendea mwanzo inapokwisha Ukimuacha kwa sababu lile tako refu ulilomkuta nalo akiwa Kigoli mbichi limekwisha HUKUMPENDA YEYE, ULIPENDA TAKO ZAIDI
Sasa nifanyeje jamani!! Na yeye kwanini akose manoti!!
Nitawashawishi wakukimbie.Hahahaha kukosa manoti kupo tu,
hata mimi kaka yako manoti sijawahi miliki lakini hawanikimbii.
Hata hiyo pia yangu mkuu, ila naheshimu michango na mawazo yenu, wacha niirudisheSTUNTER rudishs Avatar yako unajua tumeizoea imekua kam brand yako kwenye hizi topic,unazipatia kweli kweli mkuu,una talent ya kuzungumzia ma lovee
Utakua umefanya la maana maana imekua sio tu avatar bali imekua ni kama utambulisho wako maarufuHata hiyo pia yangu mkuu, ila naheshimu michango na mawazo yenu, wacha niirudishe