Mapenzi ya mtandaoni magumu

chriss brown

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
292
63
Ni aibu kwa mwanaume kutukanwa na mwanamke,either jf au fb,tuachen mambo ya kumix madem jamani.Mpaka aibu...khaaa!,hata wasichana pia.kuja jamaa katukanwa,sijui kama atafuatilia tena.
 
Mmezidi,mimi nakupa la uso kavu kavu...tena kama status..ki ki ki ki..
 
Ni aibu kwa mwanaume kutukanwa na mwanamke,either jf au fb,tuachen mambo ya kumix madem jamani.Mpaka aibu...khaaa!,hata wasichana pia.kuja jamaa katukanwa,sijui kama atafuatilia tena.
Kumix mix watu ni ulimbukeni tu na tamaa!! Kutukanwa ndio dawa yao saaaafi....
 
Hii thread haina afya hata kidogo, tujaribu kujipanga wakati tunataka kuanzisha thread, content ya habari yako ni lazima iwe na msisimko kumpa msomaji hamu ya kusoma kuliko kulipuwa lipuwa habari!
Hivi kama uhandishi wenyewe ndio utakuwa na uwezo wa kumuimbisha injili binti wa kike aliyekamilika akakuelewa?
 
Hii thread haina afya hata kidogo, tujaribu kujipanga wakati tunataka kuanzisha thread, content ya habari yako ni lazima iwe na msisimko kumpa msomaji hamu ya kusoma kuliko kulipuwa lipuwa habari!
Hivi kama uhandishi wenyewe ndio utakuwa na uwezo wa kumuimbisha injili binti wa kike aliyekamilika akakuelewa?

umeelewa,ndiyo maana uka comment.ungepita tu.
 
umeelewa,ndiyo maana uka comment.ungepita tu.


user-online.png
chriss brown

Today 10:59
#5
Senior Member Array


Join Date : 3rd November 2011
Posts : 129
Rep Power : 233
 
Hii thread haina afya hata kidogo, tujaribu kujipanga wakati tunataka kuanzisha thread, content ya habari yako ni lazima iwe na msisimko kumpa msomaji hamu ya kusoma kuliko kulipuwa lipuwa habari!
Hivi kama uhandishi wenyewe ndio utakuwa na uwezo wa kumuimbisha injili binti wa kike aliyekamilika akakuelewa?

hujaelewa nini labda hapo?
 
Back
Top Bottom