MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
- Thread starter
- #21
ata km ana uhakika bt stl HAUNA AHAKI YA KUMTUSI MTU
angefuata njia sahihi bt nt kutukana watu...afta low ni mwanaume aliyemfata uyo mwanamke mwngne(mara nyng)so ingekuwa busara km angezungumza na mumewe ....
wewe unamtusi mwenzio badaye anampitia anampeleka dina movenpick ..anapewa pole na kubembelezwa na tiket ya dubai kufanya shopng juuu..wewe upo ndan unaliwa na mbu....
ahh ukimwona mumeo kachopoka usiende kuvaana na mwanamke uyo wewe vaana na mumeo...NDO MWENYE KOSA
sASA ata km umemtusi ,,....umemchambaaaaa so wat?ndo waachane?ASI UNACHOCHEA MAPENZ YAO APO BILA KUJUA?
Makubwa tena haya da Rose