Kufanya mapenzi sana kwa mwanaume kunampelekea kuzaa watoto wa kike kwa urahisi zaidi kuliko yule hasiyefanya mara kwa mara?
Kuna ka logic furani ingawa si proven beyond reasonable doubt. Ka logic kenyewe ni hivi;
Mnapotiana na hadi mbegu kutoka, kawaida mbegu za kiume hutoka faster zaidi na mara nyingi zinatangulia. Hata hivyo mbegu hizi hufa mapema.
Kwa upande mwingine mbegu za kike hupanda pole pole ila zinaishi muda mrefu zaidi.
Kwa hiyo ikiwa mnatunguana wakati yai linapokuwa karibu kabisa (au mwanamke anapokuwa kwenye peak ya ovulation), kuna uwezekano mkubwa mtoto wa kiume kuzaliwa, kwani mbegu za kiume zitalifikia yai mapema zaidi na uwezekano wa mtoto wa kiume ni mkubwa (ila si 100%).
Vile vile kama mbegu zimeingia wakati yai bado liko mbali (mbegu ndani ya uke huweza kuishi kwa masaa 72) yai linaposhuka kuna uwezekano mkubwa wa female child kwa kuwa hadi hapo zile za kiume nyingi huwa zimeshakufa. Halafu vile vile wakati huo advantage ya kuwahi haipo hivyo zote zina equal chances, ila za kike zaidi kwa sababu zinaishi muda mrefu zaidi.
Sasa mwanaume unapofanya mara kwa mara, unakuta ile presha ya kusukuma mbegu inakuwa imepungua. Kutokana na kupungua kwa msukumo ile advantage ya mbegu za kiume kuwahi inakuwa cancelled out hivyo kunakuwa na nafasi sawa ya watoto (labda 50/50).
Lakini vile vile kutoa mbegu mara kwa mara wakati mwingine husababisha mbegu zitoke kabla ya kukomaa sawa sawa. Hivyo kama unatia ovyo ovyo au kila siku si vizuri ikiwa unataka mtoto, kwani mbegu huhitaji muda wa kukomaa.
Kuongeza chances za kupata mtoto wa kiume (siyo asilimia 100) ni kusubiri siku ile mwanamke anapokuwa peak. Siku hiyo wanawake wengi hujisikia kuteleza na huitamani sana uume uwaingie. Ukiweza kuvizia siku hiyo na ukawa umekaa kama siku tatu bila kutoa shahawa, unaongeza chances za kupata wa kiume (ingawa si 100%).
Hayo nadhani yanaweza kukusaidia.
Sasa mwanaume unapofanya mara kwa mara, unakuta ile presha ya kusukuma mbegu inakuwa imepungua. Kutokana na kupungua kwa msukumo ile advantage ya mbegu za kiume kuwahi inakuwa cancelled out hivyo kunakuwa na nafasi sawa ya watoto (labda 50/50)
kuna ka logic furani ingawa si proven beyond reasonable doubt. Ka logic kenyewe ni hivi;
mnapotiana na hadi mbegu kutoka, kawaida mbegu za kiume hutoka faster zaidi na mara nyingi zinatangulia. Hata hivyo mbegu hizi hufa mapema.
Kwa upande mwingine mbegu za kike hupanda pole pole ila zinaishi muda mrefu zaidi.
Kwa hiyo ikiwa mnatunguana wakati yai linapokuwa karibu kabisa (au mwanamke anapokuwa kwenye peak ya ovulation), kuna uwezekano mkubwa mtoto wa kiume kuzaliwa, kwani mbegu za kiume zitalifikia yai mapema zaidi na uwezekano wa mtoto wa kiume ni mkubwa (ila si 100%).
Vile vile kama mbegu zimeingia wakati yai bado liko mbali (mbegu ndani ya uke huweza kuishi kwa masaa 72) yai linaposhuka kuna uwezekano mkubwa wa female child kwa kuwa hadi hapo zile za kiume nyingi huwa zimeshakufa. Halafu vile vile wakati huo advantage ya kuwahi haipo hivyo zote zina equal chances, ila za kike zaidi kwa sababu zinaishi muda mrefu zaidi.
sasa mwanaume unapofanya mara kwa mara, unakuta ile presha ya kusukuma mbegu inakuwa imepungua. Kutokana na kupungua kwa msukumo ile advantage ya mbegu za kiume kuwahi inakuwa cancelled out hivyo kunakuwa na nafasi sawa ya watoto (labda 50/50).
lakini vile vile kutoa mbegu mara kwa mara wakati mwingine husababisha mbegu zitoke kabla ya kukomaa sawa sawa. Hivyo kama unatia ovyo ovyo au kila siku si vizuri ikiwa unataka mtoto, kwani mbegu huhitaji muda wa kukomaa.
Kuongeza chances za kupata mtoto wa kiume (siyo asilimia 100) ni kusubiri siku ile mwanamke anapokuwa peak. Siku hiyo wanawake wengi hujisikia kuteleza na huitamani sana mboo iwaingie. Ukiweza kuvizia siku hiyo na ukawa umekaa kama siku tatu bila kutoa shahawa, unaongeza chances za kupata wa kiume (ingawa si 100%).
Hayo nadhani yanaweza kukusaidia.
practice makes perfect shingo......sio kweli kwamba unapofanya sana basi manii zinapungua nguvu na kuwa ndogo....hell noo....unapofanya sana ngono mashie ya kutengeneza manii nayo inakuwa faster na ku produce vitu vya uhakika....
.....pia hii ya kwamba mbegu za kume zinakuwa na chembe chembe za mtoto wa kike au kume sijakupata kuna jamaa hapa alitoa dar'sa la kupata jike au dume.....alll in all napenda majike maana madume wengi mafisadi...
Ni kweli vile vile kuwa kwenye manii zinakuwemo mbegu za kiume na kike kwa viwango vilivyo karibu sawa.