Sio ubinafsi ukitaka kuwekwa kwenye malist kuwa na handsome ukiwa na mwanaume wako wa sura ya mbuzi halafu mweusi walaa hakuna wa kumsogelea
Kwani na wewe ni handsome mshipa wake dada
Hui mfumo wako wa mapenzi tunauita mfumo wa kupaki basi. Unajilinda zaidiSio ubinafsi ukitaka kuwekwa kwenye malist kuwa na handsome ukiwa na mwanaume wako wa sura ya mbuzi halafu mweusi walaa hakuna wa kumsogelea
Kwani na wewe ni handsome mshipa wake dada
Weka pichaaaaa sitaki maneno matupu mmaah wapi mimi nina sura ngumu sana
Si mbaya kufa kufaana wenzetu wakiharibu ndio siye tuna angaliwa ati
Weka pichaaaaa sitaki maneno matupu mm
Hui mfumo wako wa mapenzi tunauita mfumo wa kupaki basi. Unajilinda zaidi
Mbona unaonekana muhandsomehuoni kidevu hicho kilivyokomaa
Hahaha afadhali umetukumbuka kina remy ongalaMm ndio mana napenda mwanaume mwenye sura mbaya sura ngumu ya kiume pendeni mahandsome hivyo hivyo ana list yake ndefu hajui ataoa yupi
My handsome upoo??Mahendisamu wakiwatenda ndio huwa mnakimbilia kwa sisi ma goat face!!
Yaan ndio sura zangu hizo ninazozipendaHahaha afadhali umetukumbuka kina remy ongala
We muhandsome bana mshipa wake dada unaonekana tu hapoaah wapi nianze tu kuwa handsome
Ndo maana mda mwingine na mashaka mana sio kwa uhandsome huoJiwe gizani hili kabaang
Where ?Ishu sio hata sura.
Tabia ndo kila kitu.
Haimaanishi ukiwa handsome automatically you are a player and have all the above qualities.
There are some very fine young men out there na wanajielewa.
ShikamooIshu sio hata sura.
Tabia ndo kila kitu.
Haimaanishi ukiwa handsome automatically you are a player and have all the above qualities.
There are some very fine young men out there na wanajielewa.
Muulize Sakayo atakuambiaWe muhandsome bana mshipa wake dada unaonekana tu hapo