Okay.. lkn mbali na yote nimekuelewa haswa!.. ukarimu wako na maneno yako matamu yamenivutia!, nafikiri bwana analakuteta nasi.. ni kama vile nalipatia picha umbile lako lilifinyangwa na fundi stadi ambae si tu alikujaali,Bali alikupa na kukujaza vile ambavyo ni Siri yakwako nami nitaka niitambue siri hiyo!.. wasemaje mrembo..?😉