love peace
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 130
- 37
Habari wana Jf,
Kwa experience yagnu mahusiano mengi ya wale ambao ni wanachuo huishia baada ya ku graduate. Mahusiano hayo hayana future na ni wachache mno ambao hudumu. Labda iwe mahusiano hayo yawe ni ya mtu ambae ni mtu wa nje ya chuo na si mwanafunzi mwenzie.
Nyie mnaona kuna ukweli wowote hapo?
Kwa experience yagnu mahusiano mengi ya wale ambao ni wanachuo huishia baada ya ku graduate. Mahusiano hayo hayana future na ni wachache mno ambao hudumu. Labda iwe mahusiano hayo yawe ni ya mtu ambae ni mtu wa nje ya chuo na si mwanafunzi mwenzie.
Nyie mnaona kuna ukweli wowote hapo?