BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
wanajf babu yangu jirani yeye na mkewe walikua na watoto14.Tangu nakua miaka ya1992 Babu na bibi hawalali kitanda kimoja,sijawahi sikia wamegombana ila najiuliza hadi leo japo babu kafariki,na kumuuliza bibi naogopa,unaweza ukadhani nini mana hata kwenu labda wapo:scared: