Mapenzi siyo lazima kwa mtindo huu

Idd Ninga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
5,136
4,298
unatembea barabarani ama njiani ama sokoni ama kanisani ama msikitini ama chuo ama popote pale.
ghafla unamuona msichana mrembo au mvulana mzuri.
mnasogeleana na mmoja amtamani mwenzake na siyo kumpenda.
mnapeana maneno machache na mmoja anakubali kutoa penzi kwa mwenzake kwa gharama ya pesa na mwingine amakubali kutoa pesa kwa kuuza utu wake kwa kutoa pesa.
masaa mawili ma dakika chache yanasababisha mmoja wao kuupata ukimwi ama gonjwa lolote.
na kisha wanaachana dakika kadhaa mbele.
mwisho kila mmoja anajua kuwa hakuyapata mapenzi bali maumivu.
 
Sasa hapo mapenzi yako wapi na ushaingua neno kutamani????
 
unatembea barabarani ama njiani ama sokoni ama kanisani ama msikitini ama chuo ama popote pale.
ghafla unamuona msichana mrembo au mvulana mzuri.
mnasogeleana na mmoja amtamani mwenzake na siyo kumpenda.
mnapeana maneno machache na mmoja anakubali kutoa penzi kwa mwenzake kwa gharama ya pesa na mwingine amakubali kutoa pesa kwa kuuza utu wake kwa kutoa pesa.
masaa mawili ma dakika chache yanasababisha mmoja wao kuupata ukimwi ama gonjwa lolote.
na kisha wanaachana dakika kadhaa mbele.
mwisho kila mmoja anajua kuwa hakuyapata mapenzi bali maumivu.
Pole ndugu, anza kuishi kwa matumaini, tumi ARV kama inavyotakiwa na kula sana mboga mboga.
 
Back
Top Bottom