Mapenzi sio vita Wala kuchoshana

Mapenzi sio vita Wala kuchoshana

Amos David Mathias

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2022
Posts
1,575
Reaction score
3,106
Ifikie wakati wanaume tujitambue tusiendeshwe na mihemko ya wanawake . Mwanamke anataka ushinde juu ya kifua chake zaidi ya masaa matano kwani sisi ni PUNDA nauliza??

Kila mbuzi ale Kwa urefu wa kamba yake.Wanaume wanaruhusiwa kufanya mapenzi Kwa jinsi watakavyotaka wao.Kama ni goli Moja chalii Kisha pumzi inakata na unapitiwa na usingizi mzito Wala sio kasoro Bali ni kawaida furahia usikubali mwanamke akufanye PUNDA kitandani.

Mapenzi ni hisia na furaha .Kama unaweza kwenda zaidi ya goli Moja nenda Kwa hiari Yako ila usilazimishwe na Mwanamke Kwa kufuata mihemko yake.Usikubali kuchoshwa BIla sababu ya msingi.Cha msingii muandae vizuri kisha maliza haja zako Kwa furaha.Malizia na usingizi mzito.

##MAPENZI SIO KUCHOSHANA NI STAREHE.
 
Ifikie wakati wanaume tujitambue tusiendeshwe na mihemko ya wanawake . Mwanamke anataka ushinde juu ya kifua chake zaidi ya masaa matano kwani sisi ni PUNDA nauliza??

Kila mbuzi ale Kwa urefu wa kamba yake.Wanaume wanaruhusiwa kufanya mapenzi Kwa jinsi watakavyotaka wao.Kama ni goli Moja chalii Kisha pumzi inakata na unapitiwa na usingizi mzito Wala sio kasoro Bali ni kawaida furahia usikubali mwanamke akufanye PUNDA kitandani.

Mapenzi ni hisia na furaha .Kama unaweza kwenda zaidi ya goli Moja nenda Kwa hiari Yako ila usilazimishwe na Mwanamke Kwa kufuata mihemko yake.Usikubali kuchoshwa BIla sababu ya msingi.Cha msingii muandae vizuri kisha maliza haja zako Kwa furaha.Malizia na usingizi mzito.

##MAPENZI SIO KUCHOSHANA NI STAREHE.
HATIMAYE UKWELI UMESEMWA!
 
Sure, kufanya mapenzi sio kukomoana mtu anataka umpige bao tatu mpka uti wa mgongo unataka kuvunjika bhan

Mimi huwa sipendi kujichosha bao moja natulia..maandalizi ndo muhimu
 
Upungungufu wa nguvu za kiume...umekutoa povu...hahaha
haha
 
Viumbe hai vyote jinsi Me vikipiga goli 1 basi kazi kwisha, wale tunaojidai tunajua kukomoa tulipotoka ndiyo huwa tunaumia tu.

NB:

"Utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe"
 
Kwa hiyo shida n kushinda kifuani masaa zaid ya 5?!
 
Back
Top Bottom