kama kamfuata jamaa hana pesa, basi anafuata mtalimbo
wewe ulimfanya dada yako ukampapasa kwa mahaba ya kihindi
akishakolea na kukosa pesa atarudi tu kwako, sema chunga kubambikiwa mimba
Mapenzi Ni Kama Msumeno Tu Mimi sasahivi natafuta wa umri wa 35 kwenda juu maana wa chini ya 30 umiza kichwa unamtunza kadri uwezavyoo lakinii wapiiiiiii