kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Kuna watu wanatudanganya kuwa mapenzi pesa lakini siyo kweli. Kuna mwanamke nipo naye kwenye mahusiano, nilimkuta hana simu kubwa nikamnunulia simu kubwa ili kuepusha matatizo ya salio kila siku. Pia nilimkuta hana mavazi mazuri nikatoa pesa zangu kumnunulia mavazi.
Lakini naona moyo wake kwangu haupo kabisa, najaribu kufosi kumpa vijizawadi lakini wapi. Kweli anasema ananipenda, lakini siyo ile mapenzi ya asili.
Nilichojifunza pesa siyo mapenzi. Mpaka leo nimeongea naye, nikampa tu ukweli kuwa hana mapenzi ya kweli kwangu ila anafosi tu kuwa na mimi. Kwahiyo basi nimemwambia tuachane, lakini tubaki kuwa marafiki ili nimpe uhuru wa kutafuta atakaye mfurahisha.
Lakini naona moyo wake kwangu haupo kabisa, najaribu kufosi kumpa vijizawadi lakini wapi. Kweli anasema ananipenda, lakini siyo ile mapenzi ya asili.
Nilichojifunza pesa siyo mapenzi. Mpaka leo nimeongea naye, nikampa tu ukweli kuwa hana mapenzi ya kweli kwangu ila anafosi tu kuwa na mimi. Kwahiyo basi nimemwambia tuachane, lakini tubaki kuwa marafiki ili nimpe uhuru wa kutafuta atakaye mfurahisha.