Mapenzi sawa na kichaka

Mapenzi sawa na kichaka

Anthony Threedeyea

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
471
Reaction score
47
Utafanya nini ukifahamu mpenzi umpendae anasaliti?

Pendo lako ungefanya nini ukijua mpenzi wako ana mpenzi wake wa kitambo machozi hayawezikuisha kamwe moyo?

unavurugwa kuna vitu unaweza kataa ila sio mapenzi maumivu yake yatakukumbusha time uliopoteza ulipo kuwa nae watu wanashindwa kula hata maji wanashindwa kunywa .

PLS USIMLAZIMISHE AWE WAKO...
 
yakikukuta hayo mkuu ugulia siku tatu,baada ya hapo sahau endelea na pilika zako tena msahau kabisaaa...
ukiumizwa mara moja iwe ni fundisho uwe makini na mahusiano yajayo
 
Kamwe usmwamin mtu % zote. Sio kitu rahisi kumkabidhi moyo mtu uliyekutana naye ktk safar ya maisha yako hata mm baba yako usiniamin" MWAMIN MAMA YAKO TU NAYE KWA 98% ,,,,,,,,,,,, haya ni maneno niliyokuwa naambiwa na baba yangu.......... Hata mm binafsi sijawahi kumwamin mpenz wangu hata siku moja........ Japo ni vigumu lakin tusiruhusu mioyo yetu kuwaamin tunaowapenda tutambue kuwa moyo wa mtu ni fumbo zito sana amballo aliwezi kufumbuliwa na mtu yeyote isipokuwa mhusika tu
 
Ee mola wanusuru wana jf wote na janga hili la kupenda,wawe wanapendwa tu,amen.
 
naangalia what i gain from him.... na kiasi gani bado namuhitaji hasa kimawazo...ila kama upstairs ni sifuri aisee haraka sana napiga china naweka pembeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom